witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,093
Unajua neno hilo tu mkuu😀 "ulinjanga ugwe siyo"?Ughonile?!
Hivi ukipewa kati ya weupe na shepu za akina masogange au Sanchez, utachagua nn?!Tukuyu kuna weupe?
Uchungu wa balimi ukimeza lazima ufumbe macho, pia alcohol 5.8 kha nasikia ilitengenezwa kwa ajili ya wakulima tu.Jua linapokuwa kali unalinywea Balimi ya baridi linapotea
Sasa wewe unainywa bila ya Nyama yenye pilipili hua unakoseaUchungu wa balimi ukimeza lazima ufumbe macho, pia alcohol 5.8 kha nasikia ilitengenezwa kwa ajili ya wakulima tu.
Tukuyu kuna shape? Tipwa tipwa hapanaHivi ukipewa kati ya weupe na shepu za akina masogange au Sanchez, utachagua nn?!
Njoo hapa swax , tangu jakaya alete huu mkeka(lami) ,hakika panapendeza sanaTanzania ni nchi kubwa sana, Mungu ameibariki kuwa na maeneo makubwa na yenye watu wa tamaduni mbalimbali.
Mimi ni mwenyeji wa Nachingwea. Huko ndiko asili ya familia yangu. Napapenda sana kwetu. Na huko nitazikwa siku nikiaga dunia.
Nilipokuwa mdogo nilitamani sana kutembelea mikoa mingine, nje ya Lindi kujionea uzuri wa nchi na watu wake.
Alhamdulillah, elimu ilinifanya niishi mikoa sita Tanzania hii.
Nilipomaliza shule ya msingi, nilichaguliwa shule ya vipaji ya Shy Bush. Huko Shinyanga sehemu wanapochimba almasi.
Mazingira ya huku sikuyapenda sana japokuwa hayana tofauti na ya Nachingwea.
Maji ni shida sana mkoa wa Shinyanga. Ila kizuri cha mkoa huu ni watu wake ni wakarimu sana, japokuwa huwa wanawateta wageni kwa kilugha pia watu wake ni washamba ila wana mioyo poa sana.
Baada ya kuhitimu O Level, nilichaguliwa Kibaha Boys PCB. Mazingira sio mabaya na sio mazuri kihivyo. Wenyeji ni wazembe sana ila wachangamfu mno. Ni waswahili sana, hawaogopi linapokuja suala la mazumgumzo.
Chuo nilichaguliwa UDSM, huku sitapasema sana maana watu wake Havana tofauti na watu wa pwani. Japokuwa huku makabila ni mengi.
Field yangu ya kwanza nilifanya Kilimanjaro( Moshi), hulu mazingira ni mazuri sana, hali ya hewa inavutia sana. Wenyeji wa huku ni wachapakazi haswa ila shida yao kubwa ni wabaguzi mno. Mwenyeji wangu, (Mtu wa kwetu Lindi) aliniambia huku ukifanya biashara unaweza usipate wateja kwa sababu ya kabila lako.
Field yangu ya pili nilifanya, Musoma, huku nikakutana na kina Mwita na Chacha.
Mazingira niliyapenda na watu wake pia. Ni wachapakazi na wakarimu kwa wenyeji. Shida yao kubwa wana-element ya ubabe.
Leo nikiambiwa nichague wali pa kuishi, nitachagua Lindi nyumbani, maana nimepazoea. Wewe je?
Duh, kumbe ndo huwa hivyo!? Kuna jamaa huwa nawaona hawatumii hiyo kitu bila nyama.Sasa wewe unainywa bila ya Nyama yenye pilipili hua unakosea
😂😂😂😂
Pia acheki na nyamadoke, kahama, TX na kuelekea igombe mpaka kayenze.Hakuna kiwanja Nyasaka kwa sasa, sasa hivi tunajenga Ilalila huko, manake hata Nyamhongolo imeshajaa
ROCK CITYTanzania ni nchi kubwa sana, Mungu ameibariki kuwa na maeneo makubwa na yenye watu wa tamaduni mbalimbali.
Mimi ni mwenyeji wa Nachingwea. Huko ndiko asili ya familia yangu. Napapenda sana kwetu. Na huko nitazikwa siku nikiaga dunia.
Nilipokuwa mdogo nilitamani sana kutembelea mikoa mingine, nje ya Lindi kujionea uzuri wa nchi na watu wake.
Alhamdulillah, elimu ilinifanya niishi mikoa sita Tanzania hii.
Nilipomaliza shule ya msingi, nilichaguliwa shule ya vipaji ya Shy Bush. Huko Shinyanga sehemu wanapochimba almasi.
Mazingira ya huku sikuyapenda sana japokuwa hayana tofauti na ya Nachingwea.
Maji ni shida sana mkoa wa Shinyanga. Ila kizuri cha mkoa huu ni watu wake ni wakarimu sana, japokuwa huwa wanawateta wageni kwa kilugha pia watu wake ni washamba ila wana mioyo poa sana.
Baada ya kuhitimu O Level, nilichaguliwa Kibaha Boys PCB. Mazingira sio mabaya na sio mazuri kihivyo. Wenyeji ni wazembe sana ila wachangamfu mno. Ni waswahili sana, hawaogopi linapokuja suala la mazumgumzo.
Chuo nilichaguliwa UDSM, huku sitapasema sana maana watu wake Havana tofauti na watu wa pwani. Japokuwa huku makabila ni mengi.
Field yangu ya kwanza nilifanya Kilimanjaro( Moshi), hulu mazingira ni mazuri sana, hali ya hewa inavutia sana. Wenyeji wa huku ni wachapakazi haswa ila shida yao kubwa ni wabaguzi mno. Mwenyeji wangu, (Mtu wa kwetu Lindi) aliniambia huku ukifanya biashara unaweza usipate wateja kwa sababu ya kabila lako.
Field yangu ya pili nilifanya, Musoma, huku nikakutana na kina Mwita na Chacha.😀😀
Mazingira niliyapenda na watu wake pia. Ni wachapakazi na wakarimu kwa wenyeji. Shida yao kubwa wana-element ya ubabe.
Leo nikiambiwa nichague wali pa kuishi, nitachagua Lindi nyumbani, maana nimepazoea. Wewe je?
Wachanga bwana utadhania ushirikina hawaujui!!? Wakati December lazima akatabikeMimi niko tayari kuishi popote Tanzania ila tu kuiwe na mambo haya
1. Joto kali
2. Ushirikina
3. Shida ya maji
4. Ubaguzi wowote ule
Mikoa pendekwa ni hii
1. Mbeya
2. Kilimanjaro
3. Arusha
4. Iringa
Wilaya
1. Lushoto
2. Kyela
3. Tunduma
4. Same
5. Moshi
6. Usariva
Mambo! sweet heartKanda yote ya ziwa....hivi unalijua jua la Shinyanga wakati wa kiangazi
Ahaa kumbeBashite ni Magu...
Huwezi kuamini sijawahi kufika ila napatamani sana! Nikiseti mambo yakisetika nitaenda siku moja japo nikakae Siku 3 tu!
Bila shaka utakua ni mdau wa kipepeo na sweet cornerNapafahamu mzee! Kwanzia Kwala, Dutumi, Madege, Kigogo, Kimala Misale, Usungura n.k...