Ni mji gani mkubwa hapa Tanzania una bwawa kubwa kwaajili ya maji yake?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,204
12,698
Kwenye miji mikubwa maji ya uhakika huwa ni kuwa na bwawa (reservoir). Sasa kwa hapa Tanzania, ukiachana labda na Moro, ni mji gani mkubwa wenye reservoir kubwa ya maji? Je, Dodoma wana bwawa kwaajili ya matumizi yao ya maji?
 
Kwenye miji mikubwa maji ya uhakika huwa ni kuwa na bwawa(reservoir). Sasa kwa hapa Tanzania, ukiachana labda na Moro, ni mji gani mkubwa wenye reservoir kubwa ya maji? Je Dodoma wana bwawa kwaajili ya matumizi yao ya maji?
Tabora, kuna Igombe dam, lililojengwa tangia mkoloni.

Lakini hivi sasa mikoa za kanda hiyo zinafaidi maji toka ziwa Victoria.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndanda, Mtwara
Tanzania

Teknolojia ya umeme wa maji waokoa watu wengi mjini Ndanda mkoani Mtwara, kusini mwa Tanzania.



Source : DW KiSwahili
 
Back
Top Bottom