Nina dada yangu mtoto wa baba mdogo aliyekuja mjini kureseat Necta ya form 4, alimaliza mwaka jana na kufeli sasa kabeba mimba. Tulizani kuwa ni malaria baba akanipa fedha nimpeleke akapime baada ya kupima hana malaria ni mimba, Sasa ananiambia nimfichie siri.
Naombeni ushauri wakuu.
Naombeni ushauri wakuu.