Ni mimi peke yangu sipend kupostiwa ama?

Huwa siwaelewi kabisa watu wa design hii

Kuna mmoja Co-worker anavitabia vya aina hii
kuna msela mmoja miaka ya nyuma nilikuta kani DM eti "scars leo birthday yangu inamaana hujaona picha yoyote ya kunipost uni wish ku share love?"

Sikumjibu kitu nilichofanya mimi nikam block, kesho kama zali tukaonana street nampa hai kanichunia nikamtumia text nikasema "nina makucha kwahiyo kwangu upele ni kwere"
 
Mupenz wangu huwa ananipost sana ..nmemkataza asinipost instagrm ila ananipost sana whatsp..sasa dah

Imekua mwiba hii ishu...sjaelewa lengo lake...

Mi huwa nna mawazo mabaya kwel..sometime nawaza tu kijinga kwamba anapost ili ajijue yuko peke yake ama nin

Ili kwamba hata kama mwingne agonganishe magar ama

Nmemwambia mi nmeacha tabia hzo haelew

Mim sipend kupostiwa jaman dah..naona utoto flan hv...hyo valentine sasa ndo ilikua kama picha zmeungana yan..yaan ni kama mstar wa status...

Kiukwel nmekereka ..ila sasa bint mwenyew nashindwa hata react maana atajiskia vbaya maana amekufa ameoza..nalijua hlo

Dahh..mitihan hii

Uzi tayar
We mtoa mada ni malaya mbwa ambae umeoa demu ambalo halikuvutii so unaona nishai dunia kujua kuwa umeoa li baya ili uendelee kula vichwa
 
Ni u-teenager na mkumbo wa kishamba uliokua trend na sasa unafanywa kama fashion

Mwezi uliopita kuna mchizi alifiwa na baba yake basi siku nzima jamaa anapost mapicha ya dingi yake tu na caption ya r.i.p kila social network jamaa anaacha post, mpaka nikaanza kuwaza huyu mchizi anapata wapi huo muda wa kushika simu kipindi hiki cha majonzi na maiti hata kuzikwa bado?

Jamaa alikua anapost picha kuanzia mchakato wa kumtoa marehemu mochwari hadi kuzika, mara ajirekod analia eti akonge nyoyo za watu aonekane ameguswa na msiba

Mchizi amekua kero sana leo nimeamua nim-block baada ya kuona msiba umeisha yapata mwezi na siku kadhaa lakini bado anapost post tu r.i.p baba kila sehemu
ana uchungu kuliko aliyepoteza mume?😂😂
 
Kuna jamaa yng mmoja nilisoma nae now ametangulia mbele ya haki

Alikua ananifata FB mbona hu like picha zangu

Mwengine anatumia picha nimposti eti kesho b'day yake

Yani Dume zima
kuna msela mmoja miaka ya nyuma nilikuta kani DM eti "scars leo birthday yangu inamaana hujaona picha yoyote ya kunipost uni wish ku share love?"

Sikumjibu kitu nilichofanya mimi nikam block, kesho kama zali tukaonana street nampa hai kanichunia nikamtumia text nikasema "nina makucha kwahiyo kwangu upele ni kwere"
 
Ugonjwa huo aisee!
Ni u-teenager na mkumbo wa kishamba uliokua trend na sasa unafanywa kama fashion

Mwezi uliopita kuna mchizi alifiwa na baba yake basi siku nzima jamaa anapost mapicha ya dingi yake tu na caption ya r.i.p kila social network jamaa anaacha post, mpaka nikaanza kuwaza huyu mchizi anapata wapi huo muda wa kushika simu kipindi hiki cha majonzi na maiti hata kuzikwa bado?

Jamaa alikua anapost picha kuanzia mchakato wa kumtoa marehemu mochwari hadi kuzika, mara ajirekod analia eti akonge nyoyo za watu aonekane ameguswa na msiba

Mchizi amekua kero sana leo nimeamua nim-block baada ya kuona msiba umeisha yapata mwezi na siku kadhaa lakini bado anapost post tu r.i.p baba kila sehemu
 
Back
Top Bottom