fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 355
- 51
Natanguliza na salaam.
Kuna dada flani amepatwa na tukio ambalo hakutarajia japo ni mtu amekomaa.Anadai kuwa katika kabila na mila zao hajawahi kuliskia ila ndilo hili linamsumbua akili.
Ni wa tatu katika familia ya waschana watatu.Ana miaka 28 na dadazake wanaomtangulia wana miaka 32 na 36 mtawalia.Alipata mchumba na katika kupanga mikakati ya kufunga ndoa walienda kujitambulisha kwa wazazi wote.Tatizo ni kwamba walipoenda kwa wazazi wa dada,wazazi walimkatalia kuolewa mpaka dada zake waolewe kwanza..ukiweka akilini kwamba dada zake wana miaka zaidi kumliko na wala hawajafikiria kuolewa..pili walichosema wazazi wa dada ni kwamba iwapo dada ana lazima kuolewa na huyo kaka ama kaka yeyote yule kabla dada zake kuolewa,ni sharti huyo kaka alale na kati ya dada zake wakubwa ndipo apate rukhsa ya kumuoa.Dada yuko katika njia panda.Je, ushauri gani unafaa?
Kuna dada flani amepatwa na tukio ambalo hakutarajia japo ni mtu amekomaa.Anadai kuwa katika kabila na mila zao hajawahi kuliskia ila ndilo hili linamsumbua akili.
Ni wa tatu katika familia ya waschana watatu.Ana miaka 28 na dadazake wanaomtangulia wana miaka 32 na 36 mtawalia.Alipata mchumba na katika kupanga mikakati ya kufunga ndoa walienda kujitambulisha kwa wazazi wote.Tatizo ni kwamba walipoenda kwa wazazi wa dada,wazazi walimkatalia kuolewa mpaka dada zake waolewe kwanza..ukiweka akilini kwamba dada zake wana miaka zaidi kumliko na wala hawajafikiria kuolewa..pili walichosema wazazi wa dada ni kwamba iwapo dada ana lazima kuolewa na huyo kaka ama kaka yeyote yule kabla dada zake kuolewa,ni sharti huyo kaka alale na kati ya dada zake wakubwa ndipo apate rukhsa ya kumuoa.Dada yuko katika njia panda.Je, ushauri gani unafaa?