F FENOVA Member Oct 1, 2016 55 107 Nov 25, 2016 #1 Lakini Mzee wetu huyu bado anahangaika na Mahakama Je ni Busara !! Ni wakati kwa Mzee wetu kupumzika vijana wapokee kijiti cha uongozi.
Lakini Mzee wetu huyu bado anahangaika na Mahakama Je ni Busara !! Ni wakati kwa Mzee wetu kupumzika vijana wapokee kijiti cha uongozi.
Odhiambo cairo JF-Expert Member Jul 11, 2015 15,989 22,057 Nov 25, 2016 #3 Ni watu wachache sana husoma alama za nyakati !!. Na bahati kuna watu wanajichukulia kama kada ya watawala na wengine watawaliwa
Ni watu wachache sana husoma alama za nyakati !!. Na bahati kuna watu wanajichukulia kama kada ya watawala na wengine watawaliwa