Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
{1} Je, Mtanzania yule anaeishi Kijijini na wa Mjini anaweza akamsifu kwa lipi?
{2} Je, Kuna juhudi zozote ambazo amezionyesha kushirikiana na Wapinzani?
{3} Je, Rushwa imepungua au imeongezeka?
{4} Je, Usalama wa raia na mali zao umeimarishwa?
{5} Je, Kuna mahusiano mazuri (URAFIKI) Kati ya Serikali na Wananchi?
{6} Je, Watu kuuwawa kwa kupigwa risasi na kukatwakatwa mapanga mpaka kufa,au kupotea na wengine kutekwa nani awajibishwe?
{7} Je, Uchumi wa watanzania umeimarika au umedorora?
Changia vyema kama hauwezi pita tu Matusi hayatakiwi, Ninaamini wewe ni muelewa na unaipenda Tanzania.
{2} Je, Kuna juhudi zozote ambazo amezionyesha kushirikiana na Wapinzani?
{3} Je, Rushwa imepungua au imeongezeka?
{4} Je, Usalama wa raia na mali zao umeimarishwa?
{5} Je, Kuna mahusiano mazuri (URAFIKI) Kati ya Serikali na Wananchi?
{6} Je, Watu kuuwawa kwa kupigwa risasi na kukatwakatwa mapanga mpaka kufa,au kupotea na wengine kutekwa nani awajibishwe?
{7} Je, Uchumi wa watanzania umeimarika au umedorora?
Changia vyema kama hauwezi pita tu Matusi hayatakiwi, Ninaamini wewe ni muelewa na unaipenda Tanzania.