Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Unaweza kmjua mwenye sura ya kufa hapo ,yaani hebu angalia hizo picha za juu kabisa kwa ghafla ,basi macho yako yatakupeleka kwa mgombea ambae ana sura ya kufa ,mi kila nikitazama kwa gafla naona kuna mgombea ana sura ya kufa na face yake katika picha hiyo nikama ya kusituka au iliyofikwa na jambo.sisemi kama nina uhakika wa kufa mtu kwani siamini mambo ya akina shee Yaaya ,ila wakati mwingine unakuwa unajipima kama nawe unaweza kubashiri na hapo nimejaribu kuangalia hizo picha kwa gafla kuna jamaa namuona kama ni yeye.:thinking: