Uchaguzi 2020 Ni Mgombea Urais Kijana, shupavu, ana akili nyingi, jeuri, anajiamni ni msafi na mzalendo wa kweli

Mwalimu aliwahi kusema kwamba taifa hili linahitaji vijana shupavu, jeuri, wanaojiamini na wenye kuhoji mambo kuhusu watawala bila ya kuogopa na siyo wale wa ndiyo mzee.

Sasa nimekubali zaidi ya 100% kuwa Tundu Lissu ni moja ya vijana aliwahi kuwasema mwalimu. Lundu Lissu siyomuoga anajiamini, ni shupavu na ana msimamo.

Nikiri kusema kwa tabia alizokuwa nazo mwalimu alivyokuwa akipambana na wakoloni bila kujali uwezo wao kipindi hicho,alikua kijana jeuri, shupavu na anayejiamini na hakujali kua wakoloni wangeweza kumuondolea uhai wake. Sioni haya kabisa kumfananisha Mwalimu Nyerere na Tundu Lissu kwa Characters zake.

Tundu Lissu ni mzalendo ajabu kupigwa na kuumizwa na waovu ambao alijua kabisa kwamba wako nyumbani na alipoona akasema kua yeye atarejea kwenye ardhi yake, huyu mtu anajiamini sana na ni wa ajabu. Anarudi huku akijua kabisa waliotaka kumuua wapo humu humu humu nchini.

ANGALIZO KWA NEC
Tume ya taifa ya uchaguzi NEC tunawaomba sana msije mkajisahau mkaguzi kuwa watawala ndiyo wenye nchi, Wananchi ndiyo wenye nchi yao msidanganyike mkatutengenezea historia mbaya. Nimesema kua huyu kijana ni shupavu, jeuri na anajiami na anaifahamu vilivyo nchi yake, msikubali kutumika na watu wa kupita. Haitakuwa rahisi sana msimtangaze Lissu akishinda kwa halali.
Hii tume ambayo msingi wake mkubwa ni double standards...Tundu Lissu asiende tuone kitakochofanyika. Hii tume ambayo yenyewe haina maadili...ninewupe kama pamba. Wametoa hukumu gani kwa wagombea ubunge na udiwani wa chadema kwa muda huu wote. There are all working in tandem with all the deds to ensure that winner is Magufuli.

A bunch of sycophants dancing at magufuli's tune all the time. Magufuli has breached all the codes or regulations of this election and nothing has been said or done against him.

He has not followed the timetable during the electioneering, speaking in the local dialect as he pleases during this campaign, dealing with construction of road projects during the campaign, giving money to people.

This is absurd and yet no significant statement has come from NEC to condemn what Magufuli is doing. The only help we need is ICC at the Haque. When was the last time magufuli was in the campaign trail..
 
Nchi hii ina vijana wengi kuliko wazee.

Ni muda sasa kuchagua BORN FREE .... hawa jamaa waliozaliwa kabla ya Uhuru, muda wao umepita!!
 
Mwalimu aliwahi kusema kwamba taifa hili linahitaji vijana shupavu, jeuri, wanaojiamini na wenye kuhoji mambo kuhusu watawala bila ya kuogopa na siyo wale wa ndiyo mzee.

Sasa nimekubali zaidi ya 100% kuwa Tundu Lissu ni moja ya vijana aliwahi kuwasema mwalimu. Lundu Lissu siyomuoga anajiamini, ni shupavu na ana msimamo.

Nikiri kusema kwa tabia alizokuwa nazo mwalimu alivyokuwa akipambana na wakoloni bila kujali uwezo wao kipindi hicho,alikua kijana jeuri, shupavu na anayejiamini na hakujali kua wakoloni wangeweza kumuondolea uhai wake. Sioni haya kabisa kumfananisha Mwalimu Nyerere na Tundu Lissu kwa Characters zake.

Tundu Lissu ni mzalendo ajabu kupigwa na kuumizwa na waovu ambao alijua kabisa kwamba wako nyumbani na alipoona akasema kua yeye atarejea kwenye ardhi yake, huyu mtu anajiamini sana na ni wa ajabu. Anarudi huku akijua kabisa waliotaka kumuua wapo humu humu humu nchini.

ANGALIZO KWA NEC
Tume ya taifa ya uchaguzi NEC tunawaomba sana msije mkajisahau mkaguzi kuwa watawala ndiyo wenye nchi, Wananchi ndiyo wenye nchi yao msidanganyike mkatutengenezea historia mbaya. Nimesema kua huyu kijana ni shupavu, jeuri na anajiami na anaifahamu vilivyo nchi yake, msikubali kutumika na watu wa kupita. Haitakuwa rahisi sana msimtangaze Lissu akishinda kwa halali.

NEC hii mbovu iliyojivunjia heshima mapema, ole wake isipomtangaza Lissu iwapo atashinda. Itaweka historia ya kuangamizwa yenyewe na familia zao kwa nguvu ya umma. Wasiuchukulie poa uchaguzi huu. Wananchi wamechoka mno na wana hasira kali. Wameumizwa sana na utawala huu wa awamu ya 5.
 
Utakuwa na tatizo la msingi kama wewe siyo MATAGA

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Kosoa hoja moja baada ya nyingine. Unashindwa kuhoji hoja nilizozikariri ambazo mgombea wako alizisema Bungeni kabisa. Unaishia kuniita MATAGA, neno ambalo wala sijui maana yake lakini nahisi ni tusi zito unalonipachika. Hoja umezidiwa. Unaona bora ingawa unitukane.
 
Mungu anaenda kutuokoa kutoka kwenye midomo ya walanguzi kupitia ccm
 
Kosoa hoja moja baada ya nyingine. Unashindwa kuhoji hoja nilizozikariri ambazo mgombea wako alizisema Bungeni kabisa. Unaishia kuniita MATAGA, neno ambalo wala sijui maana yake lakini nahisi ni tusi zito unalonipachika. Hoja umezidiwa. Unaona bora ingawa unitukane.
Mkuu wala sijakutukana,, Neno Mataga hutumika kuwakilisha wafuasi wa ccm, kirefu chake ni Make Tanzania Great Again(MATAGA).Hoja zako zilikuwa kama za mwana ccm ndiyo mana nikakuita mataga na wala siyo tusi.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wala sijakutukana,, Neno Mataga hutumika kuwakilisha wafuasi wa ccm, kirefu chake ni Make Tanzania Great Again(MATAGA).Hoja zako zilikuwa kama za mwana ccm ndiyo mana nikakuita mataga na wala siyo tusi.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Asante kwa ufafanusi. Kwa hiyo kwa sasa tunazungumza lugha moja tunayoelewana sote lakini tunatofautiana kwa hoja tu.
 
Mwalimu aliwahi kusema kwamba taifa hili linahitaji vijana shupavu, jeuri, wanaojiamini na wenye kuhoji mambo kuhusu watawala bila ya kuogopa na siyo wale wa ndiyo mzee.

Sasa nimekubali zaidi ya 100% kuwa Tundu Lissu ni moja ya vijana aliwahi kuwasema mwalimu. Lundu Lissu siyomuoga anajiamini, ni shupavu na ana msimamo.

Nikiri kusema kwa tabia alizokuwa nazo mwalimu alivyokuwa akipambana na wakoloni bila kujali uwezo wao kipindi hicho,alikua kijana jeuri, shupavu na anayejiamini na hakujali kua wakoloni wangeweza kumuondolea uhai wake. Sioni haya kabisa kumfananisha Mwalimu Nyerere na Tundu Lissu kwa Characters zake.

Tundu Lissu ni mzalendo ajabu kupigwa na kuumizwa na waovu ambao alijua kabisa kwamba wako nyumbani na alipoona akasema kua yeye atarejea kwenye ardhi yake, huyu mtu anajiamini sana na ni wa ajabu. Anarudi huku akijua kabisa waliotaka kumuua wapo humu humu humu nchini.

ANGALIZO KWA NEC
Tume ya taifa ya uchaguzi NEC tunawaomba sana msije mkajisahau mkaguzi kuwa watawala ndiyo wenye nchi, Wananchi ndiyo wenye nchi yao msidanganyike mkatutengenezea historia mbaya. Nimesema kua huyu kijana ni shupavu, jeuri na anajiami na anaifahamu vilivyo nchi yake, msikubali kutumika na watu wa kupita. Haitakuwa rahisi sana msimtangaze Lissu akishinda kwa halali.
Huu ni msimamo wako, haijarishi ni wa ukweli au ni wa UONGO NA USHABIKI baki nao tu ILA kwa vigezo vya UZALENDO Lissu HANA ila ana ujasiri wa kijeuri na wa kuamini kuwa yeye ndiyo yeye. Kwa kigezo hicho, ndio maana Mbowe na viongozi waandamizi wa CDM wamemuachia hii ngoma aicheze mwenyewe. Hiki ni kipimo cha UJEURI, UKOROFI NA DHARAU KWA WENZAKO.
 
Back
Top Bottom