Uchaguzi 2020 Ni Mgombea Urais Kijana, shupavu, ana akili nyingi, jeuri, anajiamni ni msafi na mzalendo wa kweli

Hiyo ndiohoja wamejipanga nayo iliwavuruge uchaguzi. Wanatufanya sisi wajinga kwanini walimteua wakatiwakijuwa anauraia mwingine?...
katika surat-l anam aya ya 115, mwenyeziMungu anatuambia " neno la mwenyezi wako limetimia katika haki na ukweli. Na hakuna anaeweza kulibadilisha, mwenyezi Mungu ni msikivu na mwerevu. "

Chonde usipindishe ukweli wa Quran ili ujifaidishe mwenyewe. Aya 53 katika an nisaa inazungumzia adhabu ya wale wote watakaokaidi aya/maneno ya Allah.

Mwenyezi Mungu ndio mjuzi zaidi.
 
katika surat-l anam aya ya 115, mwenyeziMungu anatuambia " neno la mwenyezi wako limetimia katika haki na ukweli. Na hakuna anaeweza kulibadilisha, mwenyezi Mungu ni msikivu na mwerevu. "...
Nimesema shule za kidunia serekali haitoi elemu bora kufatia jinsi yakupambanua mambo ilakwakuwa kunaelimu yamadrasa inatia wepesi wakujuwa mambo hivyo unajuwa hapa nimedanganywa au laa sasa hapo kipinimejikweza nawalakusema hiki kidogo chadunia nahiki chadini kinasaidia kujuwa kitu siokusema nimesema kitabu chamungu nikipungufu ilamimi ndio ninayo hayo machache sijui utakuwa umeelewa kama hukunielewa basi tuendelee namada tu
 
Uzalendo wa kupigania watu wa nje? Kwa mfano kusema kwamba makenikia isiguswe pamoja na kwamba mchanga umechimbwa hapa kwetu nchini. Tuwaachie tu hao waliochimba tusije tukashitakiwa. Au kusema kwamba ziwa Nyasa lote ni la Malawi. Watanzania wakiogelea ufukoni Mbamba Bay, n.k. watakuwa wameingia Malawi. Au kusema maji ya Ziwa Victoria tusiyaguse kuyapeleka Shinyanga, Tabora hadi Dodoma kwa kuwa yatapunguza maji yanayonywesha Misri? Ndiyo unatutaka Watanzania tumchague mtu mwenye UZALENDO wa aina hiyo?
Uzalendo wa kuuza madini kwa Barrick....wale wanaume.
 
Kutafuta haki ni maumbile ya ubinadamu ambayo hakuna duniani anayeweza kuyaondoa. Binadamu ni kiumbe kinachoweza kutenda au kutotenda haki na haki. Binadamu asitemtendea haki mwenzake hiyo ni dhuluma na kama hakuna sheria ya kuondoa dhuluma hiyo basi aliyedhlumiwa ana mamlaka ya kufanya lolote kupata haki yake.
Mkuu turudi kwenye nyuzi zetu za kichawi tuuu naona uku xo saizi yako
 
Uzalendo wa kupigania watu wa nje? Kwa mfano kusema kwamba makenikia isiguswe pamoja na kwamba mchanga umechimbwa hapa kwetu nchini. Tuwaachie tu hao waliochimba tusije tukashitakiwa. Au kusema kwamba ziwa Nyasa lote ni la Malawi. Watanzania wakiogelea ufukoni Mbamba Bay, n.k. watakuwa wameingia Malawi. Au kusema maji ya Ziwa Victoria tusiyaguse kuyapeleka Shinyanga, Tabora hadi Dodoma kwa kuwa yatapunguza maji yanayonywesha Misri? Ndiyo unatutaka Watanzania tumchague mtu mwenye UZALENDO wa aina hiyo?
Hayo kayasema lini? Mbona mna akili za kimbeya sana.
 
Uzalendo wa kupigania watu wa nje? Kwa mfano kusema kwamba makenikia isiguswe pamoja na kwamba mchanga umechimbwa hapa kwetu nchini. Tuwaachie tu hao waliochimba tusije tukashitakiwa. Au kusema kwamba ziwa Nyasa lote ni la Malawi. Watanzania wakiogelea ufukoni Mbamba Bay, n.k. watakuwa wameingia Malawi. Au kusema maji ya Ziwa Victoria tusiyaguse kuyapeleka Shinyanga, Tabora hadi Dodoma kwa kuwa yatapunguza maji yanayonywesha Misri? Ndiyo unatutaka Watanzania tumchague mtu mwenye UZALENDO wa aina hiyo?
Mzalendo ilani yake inataka tuwe tunalipia barabara mzalendo gani ilaa inawapa sekta binafsi ewezo wa kumiliki kila kitu kwa mgongo wa ushirikiano,
Afu tatizo watu wengi wavivu kusoma hasaa chadema ilani yenu hamja isoma mana kilicho andikwa mle hakika kwa mtu timamu hawez kipigania
 
Katika sifa kuu za Lissu inayonikosha ni ujasiri. Achana na uwezo wake mkubwa wa kujenga na kuchambua hoja, akili nyingi... kuu ni ujasiri wake.

Kwa yaliyompata, hakusita kurudi nyumbani na sasa amekuwa mwiba wa koo kwa watesi wake, Lissu hana mfanowe.
 
Hivi kwelii Tanzania tulipo fikia leo Sisi ni wa kuwaza kujenga barabara tushirikiane na wadau afuu baadae tulipe tozo ya ukarabati na matengenezo kwelii
We can't be serious.
 
Hivi wafauasi wa Lisu mbona mmejikita kuwatisha sana NEC?
.
Lisu hana kura za kuwafanya NEC wapindishe matokeo.
.
Hizi blaa blaa zenu za kuwatisha nec badala ya mjitahidi kuzunguka kila kona kupiga kampeni tutakumbausha baada ya 28 oktoba
 
Mwalimu aliwahi kusema kwamba taifa hili linahitaji vijana shupavu, jeuri, wanaojiamini na wenye kuhoji mambo kuhusu watawala bila ya kuogopa na siyo wale wa ndiyo mzee.

Sasa nimekubali zaidi ya 100% kuwa Tundu Lissu ni moja ya vijana aliwahi kuwasema mwalimu. Lundu Lissu siyomuoga anajiamini, ni shupavu na ana msimamo.

Nikiri kusema kwa tabia alizokuwa nazo mwalimu alivyokuwa akipambana na wakoloni bila kujali uwezo wao kipindi hicho,alikua kijana jeuri, shupavu na anayejiamini na hakujali kua wakoloni wangeweza kumuondolea uhai wake. Sioni haya kabisa kumfananisha Mwalimu Nyerere na Tundu Lissu kwa Characters zake.

Tundu Lissu ni mzalendo ajabu kupigwa na kuumizwa na waovu ambao alijua kabisa kwamba wako nyumbani na alipoona akasema kua yeye atarejea kwenye ardhi yake, huyu mtu anajiamini sana na ni wa ajabu. Anarudi huku akijua kabisa waliotaka kumuua wapo humu humu humu nchini.

ANGALIZO KWA NEC
Tume ya taifa ya uchaguzi NEC tunawaomba sana msije mkajisahau mkaguzi kuwa watawala ndiyo wenye nchi, Wananchi ndiyo wenye nchi yao msidanganyike mkatutengenezea historia mbaya. Nimesema kua huyu kijana ni shupavu, jeuri na anajiami na anaifahamu vilivyo nchi yake, msikubali kutumika na watu wa kupita. Haitakuwa rahisi sana msimtangaze Lissu akishinda kwa halali.
Nakubiaje, "KUNA MTU ATAOKOTA MAKOPO MWAKA HUU".
 
Uzalendo wa kupigania watu wa nje? Kwa mfano kusema kwamba makenikia isiguswe pamoja na kwamba mchanga umechimbwa hapa kwetu nchini. Tuwaachie tu hao waliochimba tusije tukashitakiwa. Au kusema kwamba ziwa Nyasa lote ni la Malawi.

Watanzania wakiogelea ufukoni Mbamba Bay, n.k. watakuwa wameingia Malawi. Au kusema maji ya Ziwa Victoria tusiyaguse kuyapeleka Shinyanga, Tabora hadi Dodoma kwa kuwa yatapunguza maji yanayonywesha Misri? Ndiyo unatutaka Watanzania tumchague mtu mwenye UZALENDO wa aina hiyo?
Utakuwa na tatizo la msingi kama wewe siyo MATAGA

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom