Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,085
- 12,096
Wanabodi, jana katika maelezo ya majumuisho ya Rc mkoa wa Dsm, kuna mchungaji mmoja fisadi wa kuzalisha wanafunzi alitajwa kwa jaziba, kwamba asiione oxgen ya kanisa lake leo.
Ni nani huyo kwa jina?
Nimebaki na shauku kutaka kufahamu kwa anayemfahamu kiongozi huyo anayeyaishi yale anayoyalaani na kuyakemea kwa waumini wake kwa mdomo wake.
Ni nani huyo kwa jina?
Nimebaki na shauku kutaka kufahamu kwa anayemfahamu kiongozi huyo anayeyaishi yale anayoyalaani na kuyakemea kwa waumini wake kwa mdomo wake.