KING 360
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,002
- 5,176
Wakuu salaam kwenu
Leo napenda tujuzane michezo ambayo hatutamani kuicheza kamwe wanasema hata kwa dawa siwezi cheza ule mchezo,
Mm kwa upande wangu sitamani kucheza mchezo wa boxing kwasababu mm huwa Kwanza sikubali kushindwa hivyo hata nikishindwa naweza kumtafuta jamaa mtaani nilipe kipigo ikishindikana kwa mkono ntamuwinda hata kwa manati
Kubeti huu mchezo ni hatari tupu cpendi hata kuangalia au kusikia watu wanawaweka mpaka madem wao pondi hili wapewe hela wakabeti wengine wanakopa hili tu waende wakabeti Yaani ni kama huwa kuna nguvu flani hivi kwenye huu mchezo
Kama siasa nawenyewe ni mchezo basi nawenyewe siupendi hata kidodo wengine wanasema ni mchezo mchafu,
Mwana jf weka na ww mchezo ambayo huipendi/hutamani kuicheza kabisa
Nawasilisha.
Leo napenda tujuzane michezo ambayo hatutamani kuicheza kamwe wanasema hata kwa dawa siwezi cheza ule mchezo,
Mm kwa upande wangu sitamani kucheza mchezo wa boxing kwasababu mm huwa Kwanza sikubali kushindwa hivyo hata nikishindwa naweza kumtafuta jamaa mtaani nilipe kipigo ikishindikana kwa mkono ntamuwinda hata kwa manati
Kubeti huu mchezo ni hatari tupu cpendi hata kuangalia au kusikia watu wanawaweka mpaka madem wao pondi hili wapewe hela wakabeti wengine wanakopa hili tu waende wakabeti Yaani ni kama huwa kuna nguvu flani hivi kwenye huu mchezo
Kama siasa nawenyewe ni mchezo basi nawenyewe siupendi hata kidodo wengine wanasema ni mchezo mchafu,
Mwana jf weka na ww mchezo ambayo huipendi/hutamani kuicheza kabisa
Nawasilisha.