cement
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 581
- 218
Na sema hvy coz tumeona nchi kama Jamaica kule mpaka Bolt akapata mpinzani!kuna na juhudi za mapema kabisa za kupata washiriki wenye viwango vya hali ya juu,sijajua sisi inakuwaje kila mara tunapata aibu tuu mbn wafukuza upepo wapo tena wa hali ya juu tu,waogeleaji wapo tunaona mtu anaogelea kutoka ferry hadi kigamboni fasta tu hawa si ndo wakuwapa mazoezi ina maana HAKUNA kabisa Tanzania watu wenye viwango hvy??zamani wkt nasoma shule jamaa wa mita mia walikuwepo na walikuwa wanakimbia sanaaaa sasa hebu Filbert Bayi atwambie watanzania anafanya fanya vipi mpk anapeleka watu wabovu na wachache kiasi kile???kuna nn au hz nafasi pia ni za kindugu ndugu??Filbert Bayi tuambie watanzania maana yaani warusha hata tufe hawapo Tanzania??hapana kwa hili Kuna mcheo mchafu hapa!!!!wahusuka fungukeni!!!!