ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,642
- 3,269
Bro
we kiboko...wacha nidese hapaKwamba umuulize ye nani?
Sidhani kama ni sawa,hapo unamjibu kawaida tu kama watu unaowajua
Yeye:Mambo
Mimi:Safi ujambo?
Yeye:Me Xjambo mekumiss
Mimi:Shukrani,family wazima?
Yeye: Wazima kabisa wanakuulizia
Mimi:Waambie niko poa
Hapo najibu kulingana na muda anaojibu,akijibu baada ya dakika 2 ntajibu baada ya dakika4-10
yeah naweza kubaliana nawe kiukweli huwa naiona hata kwenye mahusiano yangu huwa namtafuta sana mwenza wangu ila yeye haoneshi na hii imepelekea kupigwa pesa maana anajua unampenda ila pia kiukweli kama utaweza punguza mawasiliano huu ni ushauri wa bure maana kuna mtu unakuwa nae kwenye mahusiano wewe kutwa ndio unamtafuta hadi unajishusha thamani kabisa ,unajiona Mungu hayupo nawe mbaya zaidi unampigia hapokei na hajibu text ila whatsup unamuona kila maraYeah na hiki mimi ndio kimesababisha hata kumtumia ujumbe siwezi labda aanze yeye
Maaana akishajua unamtegemea sana hata penzi utalisikia kwenye bomba
kama ulifanikiwa hili hongera maana mapenzi yanaweza kukufanya ukaiona dunia ni mbaya kumbe kuna mtu mmoja ndio anafanya dunia uione haifaiAisee mimi nilishasahau kama kuna kitu kinaitwa mapenzi maana nilikua ninaelekea kubaya.
kiukweli hii ni njia sahihi kabisa ya kudeal na mahusiano maana unaweza kuwa unaforce bini kulazimisha mwisho wake utapigwa pesa na utabaki kujilaumu mi nafikir wewe tizama wajibu wako kwa kumtafuta na sio mara kwa mara nikisema hiv nishajifunza ukimtafuta mara kwa mara kwa baadhi hasa ya watu anakuona wewe ni looser fulani so ukimtafuta na asipopokea tulia akutafute ukiona hajakutafuta the whole day na next day ujue tu kitumbua kimeingia mchangaKupenda kupitiliza hakujawahi kumuacha mtu salama, mpe muda mwenzi wako. Tuma sms ya kumtakia asubuh njema, mchana mwema na usiku mwema inatosha. Kama anajar basi katika reply za sms hizo ataonesha muendelezo wa ww kuchat nae. Na kama hakuna muendelezo basi kausha na ujue haitaji kujari kwako. Ila pamoja na yote hakikisha kila unapomuhitaji faragha unampata kwa wakati. Kama faragha naye pia shida basi kunywa Panadol Kisha chukulia unalazimisha mapenzi.
Kwel mapenzi ya siku hizi yamekaa kuviziana viziana tuKwa mm mara nyingi hua namtafuta pale napo jiskia na yeye pia hvyo hvyo akikausha basi nakausha coz sio kila mda unajishusha kua ww tu ndo kila siku umtafute mwache yeye pia ajiongeze ukiona siku inapita bila kutafutwa ujue ww hauna umuhimu kwake so na ww jiongeze kua kama yeye akikutafuta poa asipo kutafuta kausha tafuta hela jua umuhimu wako ukiwa kila siku ww ndo wa kumtafuta anakuchoka
hahahah kitumbua kimeingia mchanga.kiukweli hii ni njia sahihi kabisa ya kudeal na mahusiano maana unaweza kuwa unaforce bini kulazimisha mwisho wake utapigwa pesa na utabaki kujilaumu mi nafikir wewe tizama wajibu wako kwa kumtafuta na sio mara kwa mara nikisema hiv nishajifunza ukimtafuta mara kwa mara kwa baadhi hasa ya watu anakuona wewe ni looser fulani so ukimtafuta na asipopokea tulia akutafute ukiona hajakutafuta the whole day na next day ujue tu kitumbua kimeingia mchanga
sasa kama unampigia yeye hana muda wa kukutafuta yaani kila siku wewe unamuwaza yeye anakutafuta pale anapojisikia ,unafikiri bado utaendelea kumtafuta mbaya zaidi unampigia simu hakutafuti ila whatsup unamuona online sasa unajiuliza hiv huyu ni kwamba simu zangu hazioni auMimi siwezi kubalance, yaani kama simu ntapiga, sms ntatuma. Bila kujali sana yeye kanitafuta or not. Nampenda why nimpimie.
Hautakiwi babu jikataesasa kama unampigia yeye hana muda wa kukutafuta yaani kila siku wewe unamuwaza yeye anakutafuta pale anapojisikia ,unafikiri bado utaendelea kumtafuta mbaya zaidi unampigia simu hakutafuti ila whatsup unamuona online sasa unajiuliza hiv huyu ni kwamba simu zangu hazioni au
Nikweli mkuu, hiyo ni mbaya kama unamuona online na hapokei mmh, mimi nasemea ile ukimtafuta anakujibu, or anashindwa sababu yupo busy na kazi kidogo ila akipata chance anakucheki back.sasa kama unampigia yeye hana muda wa kukutafuta yaani kila siku wewe unamuwaza yeye anakutafuta pale anapojisikia ,unafikiri bado utaendelea kumtafuta mbaya zaidi unampigia simu hakutafuti ila whatsup unamuona online sasa unajiuliza hiv huyu ni kwamba simu zangu hazioni au
Nikiona najipendekeza huwa nafuta namba kwanza , huku nikiamini kama tupo pamoja atanichek ,akinichek Wala Simind tunaanza upya akizingua nafuta tena naendelea na ishu zingineMapenzi siku zote tunasema ni two ways directions not one way directions na ukiona upo katika penzi la one way directions ujue kuna tatizo
Kiasi cha kwamba wewe ndo unajitahidi kumuonesha mwenzio jinsi unavyompenda kuliko yeye anavyoesha. Wewe ndo unajionesha umependa sana kuliko mwenzio kukuneshea kukupenda. Wewe ndio kila saa na dakika unaonekana ndio chanzo cha mawasiliano,kuchat n.k
Sasa leo hebu tuambizane ukweli ni mbinu gani za kubalance shobo ktk mahusiano
shida iliyopo ni kuwa ukizimika mwenzako anakuona boya ,yani unamtafuta mtu mara kwa mara yeye hana time na wewe sasa hapo hayo mapenzi haya ushirikiano kabisa ,maana ukifanya wewe utaonekana mbaya ila kikubwa ni kujitambua japo hili ni gumu sana hasa ukishampenda mtuKwel mapenzi ya siku hizi yamekaa kuviziana viziana tu
Hakuna anetaka kuonekana kazimika kwa mwenzie
hii ndio njia sahihi ili kuishi kwa usalama japo kama umeshaikariri namba ndio itakuwa changamoto kubwa sana ,kikubwa ni kuacha kukariri nambaNikiona najipendekeza huwa nafuta namba kwanza , huku nikiamini kama tupo pamoja atanichek ,akinichek Wala Simind tunaanza upya akizingua nafuta tena naendelea na ishu zingine
mfano ukimwambia mbona online nakuona lakini hunitafuti anakwambia niliingia mara moja tu ,je utamuelewaNikiona najipendekeza huwa nafuta namba kwanza , huku nikiamini kama tupo pamoja atanichek ,akinichek Wala Simind tunaanza upya akizingua nafuta tena naendelea na ishu zingine
daaah huo ni ukweli japo ni mchungu sana ,tujaribu kuwasaidia wale ambao wanaweza kuona dalili zote lakini bado anahisi kupendwa mfano anapiga simu hazipokelewi na bado unamkuta online ,unatuma sms hazijibu ,unatuma sms whataup hata kuziangalia hawezi ,na anakutafuta muda anaotaka yeye ila wewe unamtafuta kila maraHuu jamani kubalance shobo ni muhimu mtu unamtext online sms zinafika hajibu znafikabtena hajibu jua huna chako hapo, we endelea na mambo yako ubize upo ila kaa kimya ubize ukimuisha atakutafuta asipokutafuta be kimyaa
huku unaugulia maumivuUwa nakula ganzi.
Sema haki ya Mungu...Mimi siwezi kubalance, yaani kama simu ntapiga, sms ntatuma. Bila kujali sana yeye kanitafuta or not. Nampenda why nimpimie.