Ngai Moko
JF-Expert Member
- Mar 21, 2016
- 1,238
- 1,616
Uandish kwa lugha yetu unaelekea kupotoshwaUandishi kwa lugha yetu unaelekea kupotoshwa, achana na ile mtu kupunguza herufi ila neno litaeleweka na halitakua na utata mfano;
Dsm-=Dar es Salaam
Mwl=Mwalimu
Pia kuna hii ya siku hizi nayo inaleta utata kwa watu wazima
Cku= Siku
Hz= hizi
7b= Sababu
M2= mtu
Mekuelewa= Nimekuelewa
Ila kwa hii hapa mimi natatizika na inaleta ukakasi japo naelewa lengo la muandishi;
Ugari= Ugali......... sijari, Magufuri, balabala, Mandera, ludia ( kuchanganya L & R)
Hatakuja= Atakuja
Adija= Hadija (Kwenye A panakua na H na kinyume chake)
Xambuxa= Sambusa (Upuuzi usio na maana, X inakua S.
Kwa ufupi ni hayo tu.
Dsm-=Dar es Salaam
Mwl=Mwalimu
Pia kuna hii ya siku hizi nayo inaleta utata kwa watu wazima
Cku= Siku
Hz= hizi
7b= Sababu
M2= mtu
Mekuelewa= Nimekuelewa
Ila kwa hii hapa mimi natatizika na inaleta ukakasi japo naelewa lengo la muandishi;
Ugari= Ugali......... sijari, Magufuri, balabala, Mandera, ludia ( kuchanganya L & R)
Hatakuja= Atakuja
Adija= Hadija (Kwenye A panakua na H na kinyume chake)
Xambuxa= Sambusa (Upuuzi usio na maana, X inakua S.
Kwa ufupi ni hayo tu.