MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kwa ninavyokujua Mzee wangu Waziri wa Mambo ya Nje Profesa Palamagamba Kabudi ungepewa Wewe nafasi ya Kuzungumza Zanzibar leo usingetumia dakika 15 tu alizotumia Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi.
Hongera sana Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi kwa Hotuba yako nzuri, fupi, yenye Mambo Muhimu yote pamoja na Msisitizo isiyochosha ambayo imechukua dakika 15 tu ukamaliza.
Natamani mno Profesa Kabudi aje akuone ili uweze Kumfundisha kutoa Hotuba fupi, zisizoboa na zenye mambo irrelevant sana kwa Maisha yetu ya sasa na nyakati hizi tulizopo ambapo kila Mtu anakimbizana na muda huku mambo nayo yakiwa ni mengi.
Hongera sana Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi kwa Hotuba yako nzuri, fupi, yenye Mambo Muhimu yote pamoja na Msisitizo isiyochosha ambayo imechukua dakika 15 tu ukamaliza.
Natamani mno Profesa Kabudi aje akuone ili uweze Kumfundisha kutoa Hotuba fupi, zisizoboa na zenye mambo irrelevant sana kwa Maisha yetu ya sasa na nyakati hizi tulizopo ambapo kila Mtu anakimbizana na muda huku mambo nayo yakiwa ni mengi.