ni marufuku kuingia darasani umevaa viatu iwe mwl au mwanafunzi ktk shule ya wakorea!

white wizard

JF-Expert Member
May 18, 2011
8,312
13,277
kama ni suala la uwekezaji basi tz tumeshinda!walimu wa shule moja ya awali(Grace) inayomilikiwa na raia kutoka korea,iliyopo kigamboni wanalalamikia utaratibu wa shule hiyo kutumia utamaduni wa korea wa kutoruhusiwa kuingia darasani ukiwa umevaa viatu,iwe kwa mwalimu au mwanafunzi!kweli tz kila kona tunapatikana!na mishahara yao ina angalia umeletwa na nani na cio una elimu gani!hapo patamu.
 
Mkuu sio hiyo hata kule Dodoma kuna shule inaitwa Yang Jay iko kama sikosei mitaa ya Nkuhungu mwanangu alikuwa akifika shule viatu sharti kuacha mlangoni. Mie iko siku niliingia na viatu ofisini kwake japo sikufanywa kitu lakini wazazi wengine huacha viatu mlangoni kama vile waenda kuswali!
 
Hawa wakorea wamefanya vibaya sana;
1)katika shule zao wanapeperusha bendera ya Korea peke yake,Bendera ya Tanzania haina nafasi.
2)wanachapa viboko walimu..
Hayo yametokea hiyo shule iliyopo Dodoma..haki elimu wamelizungumzia hilo ila sina hakika kama Wizara imechukua hatua yoyote.
 
Back
Top Bottom