Mugishagwe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2006
- 300
- 58
Mnyetishaji amenipa habari hizi anasema kuna waraka na uamuzi umeptishwa kwa wakuu wote wa Idara Serikalini na mashirika ya Umma kwamba ukikamatwa uko kwenye mtandao wa JF ukiwa ofisini basi na kazi huna .Nina omba mwenye nyeti zaidi aje atupe ukweli zaidi na sababu ya Serikali kuogopa mtandao huu usitembelewe ila unaweza kutembelea hata mitandao ya ngono ila si JF .