jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
MAONI YANGU:
Serikali iliyopo na Serikali zote zilizotangulia zimetokana na Chama nikimaanisha Chama Cha Mapinduzi na hapo awali TANU.
Ukipitia kwa undani misingi iliyounda Serikali yetu imetoholewa kutoka katika misingi iliyounda Chama.
Hivyo sio jambo rahisi au la siku moja au la tamko moja kuitengnisha.
Kutenganisha mihimili hii ni process na sio jambo la kukurupuka.
leo hii ukiongelea maadili ya mtumishi wa Serikali yanashabihiana kwa asilimia zaidi ya 90 na maadili ya kiongozi wa CCM.
Tunapoamua ghafla mihimili hii itengane na kuachia loophole ni kama tunataka maadili ya vyama pinzani ndio yawe maadili ya Serikali, tukumbuke kuna vyama vinakubaliana na ushoga au ubepari n.k.
hivyo ni vyema kauli ya makamu Mwenywkiti mpya ikaeleweka kwa context sahihi.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Serikali iliyopo na Serikali zote zilizotangulia zimetokana na Chama nikimaanisha Chama Cha Mapinduzi na hapo awali TANU.
Ukipitia kwa undani misingi iliyounda Serikali yetu imetoholewa kutoka katika misingi iliyounda Chama.
Hivyo sio jambo rahisi au la siku moja au la tamko moja kuitengnisha.
Kutenganisha mihimili hii ni process na sio jambo la kukurupuka.
leo hii ukiongelea maadili ya mtumishi wa Serikali yanashabihiana kwa asilimia zaidi ya 90 na maadili ya kiongozi wa CCM.
Tunapoamua ghafla mihimili hii itengane na kuachia loophole ni kama tunataka maadili ya vyama pinzani ndio yawe maadili ya Serikali, tukumbuke kuna vyama vinakubaliana na ushoga au ubepari n.k.
hivyo ni vyema kauli ya makamu Mwenywkiti mpya ikaeleweka kwa context sahihi.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!