Junior Rutashoborwa
JF-Expert Member
- Oct 13, 2019
- 228
- 210
Hi everyone in here,
Ukiufungua moyo wangu kwenye ukurasa wa mwanzo kabisa utakutana na maneno ya kingereza "If you love me, I love you" yaani "Kama unanipenda, nakupenda" Haya ndio maneno ya kwanza kuambiwa na Linda mara baada ya kumtongoza. Sikuamini masikio yangu!
Vpi nyie wenzangu mliambiwaje, baada ya kumtongoza uliyenaye sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiufungua moyo wangu kwenye ukurasa wa mwanzo kabisa utakutana na maneno ya kingereza "If you love me, I love you" yaani "Kama unanipenda, nakupenda" Haya ndio maneno ya kwanza kuambiwa na Linda mara baada ya kumtongoza. Sikuamini masikio yangu!
Vpi nyie wenzangu mliambiwaje, baada ya kumtongoza uliyenaye sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app