Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,599
- 112,655
Biashara inaendeleaje 😂😂😂nakumbuka kwa miezi mitatu ilikuwa milioni 64,kwa mwaka ikawa inaleta 256m,hapo tumetoa risk zote.
Biashara inaendeleaje 😂😂😂nakumbuka kwa miezi mitatu ilikuwa milioni 64,kwa mwaka ikawa inaleta 256m,hapo tumetoa risk zote.
nasikitika kusema hakuna kilichoendelea,maana ilibidi niwakope mtaji pale pale 5mln,nikaanza kusikia viswahili kibao.Biashara inaendeleaje
Mi nliwahi kuitwa na wauza aloevera eti semina, pambafff sana wale watu....nasikitika kusema hakuna kilichoendelea,maana ilibidi niwakope mtaji pale pale 5mln,nikaanza kusikia viswahili kibao.
nikabaki nasikitika kuukosa utajiri,wakati natafakari nini nifanye,akili ikarudi.wacha niulize kwa watu.
nilichoambiwa ilbidi pozi liniishe,maana nilisifiwa kwa kuwakopa wao mtaji kwamba nimetumia akili,kumbe mwenzao ni sababu sikuwa na hela ndio maana wakanikoss.
unakuta kuna jamaa wengine kibao wamejazwa huko ndani wanaimbishwa tu.Mi nliwahi kuitwa na wauza aloevera eti semina, pambafff sana wale watu....