Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,510
- 9,349
Heshima yenu wana JF.
Nimekuwa nikijiuliza swali hili mara kwa mara na sijapata majibu sahihi.
Mwanzo niliponunua gari miaka minne iliyopita nilikuwa naona gari inachanganya haraka sana.
Nilikuwa natumia oil SAE 40 bila kujua nikawa nahisi gari nzito sqna na injini inavuma sana haswa asubuhi nikiwasha gari ila sasa nimebadilisha natumia 5w 30 naona gari imekuwa nyepesi kidogo na inachanganya haraka ila si kama mwazo niliponunua.
Kwa miaka yote hiyo nimekuwq nikifanya service ya injini oil na filter tu.
Pia nimewahi kubadilisha plug mara moja kwa muda wote huo.
Je ni mambo gani mengine napaswa kuyafanyia service?
Aina ya gari ni Nissan ya petrl cc 1500 gia box ni CVT.
Naomba ushauri wa service nyingine za kufanya kwa sasa.
Nimekuwa nikijiuliza swali hili mara kwa mara na sijapata majibu sahihi.
Mwanzo niliponunua gari miaka minne iliyopita nilikuwa naona gari inachanganya haraka sana.
Nilikuwa natumia oil SAE 40 bila kujua nikawa nahisi gari nzito sqna na injini inavuma sana haswa asubuhi nikiwasha gari ila sasa nimebadilisha natumia 5w 30 naona gari imekuwa nyepesi kidogo na inachanganya haraka ila si kama mwazo niliponunua.
Kwa miaka yote hiyo nimekuwq nikifanya service ya injini oil na filter tu.
Pia nimewahi kubadilisha plug mara moja kwa muda wote huo.
Je ni mambo gani mengine napaswa kuyafanyia service?
Aina ya gari ni Nissan ya petrl cc 1500 gia box ni CVT.
Naomba ushauri wa service nyingine za kufanya kwa sasa.