Relax have fun with friends ila ukumbuke watu wanabadilika .kama mtu alikuwa mpole unaweza kukuta chizi kabisa na mlokole mtu wa na disko na uswahili ,mwingine alikuwa hajiwezi kishule ila maisha super amefanikiwa.usisisikilize maneno ya watu .usi judge mtu mpaka umwone mwenyewe .ukiona mtu anasemwa vibaya huku USA uhusiano huyo mtu uhusiano kafanikiwa amewazidi.Ni Hilo tuHi guys
Nina kasafari huko new york na baadae L.A California but next months huko nina accuracy kwa asilimia kubwa tyuu
Sasa jaman ety ni mambo gn ambayo natakiwa nizngatie huko yaani nini na nn nisifanyeee maana he e nikaona nisimuulze huyo kuuhu hili maana ataniona mshambaa
Mm sio mshamba wa safari za abroad ila marekani sijawah enda jomonindo maana naulzia tyu nijue
Siend kukaa sana wala hata mwez sitomaliza
Uwiiii jomoni Ni mambo gani ya kuzingatia kwa mtu anayeenda marekani?