kapuyanga mkware
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 589
- 143
Kusema ukweli namkubali Asha Rose Migiro kuwa ni mpishi mzuri sana. hilo halina ubishi. zaidi ya hapo mnamtafutia lawama tu.
Kweli. Tulikosa umakini 2005, na tukarudia upuuzi huo huo tena 2010. Na hii inatugharimu hadi 2015tabia hii sio tu kwamba huwa inatugharimu kama taifa kwa kuwapata vingozi wabovu bali pia hutanya wtz tuonekane watu tusiokuwa makini
Kweli. Tulikosa umakini 2005, na tukarudia upuuzi huo huo tena 2010. Na hii inatugharimu hadi 2015