Ni mambo gani ambayo wazee wa kitanzania hujutia na hawataki vijana nao yawatokee?

Sasa unaanza kukosa adabu, naona unaniletea kauli za kutafuta kuvunjiana heshima. Hayo ya kuokotana chooni tumefikaje hapo?!

Au kuna sehemu nilishawahi kukutukana?!

Aisee umenitukana sana ni vile msahaulifu rejea nyuzi zangu ukatukane vizuri zaidi
Sijakutusi unless niliosema ni kweli then yawekee uzito uyape maana
 
Ona sasa....!

Kumbe unajijua kuwa una mwenendo sio unatakaje sasa mimi na wewe tuelewane katika maswala ya wanawake wenye stara?!

Stara ni kwako na familia yako hapa huwezi kumpangia mtu kwa mtazamo wako
Kwani we ni nani mpaka useme kuhusu K yangu
Anyway siko na mood ya kujibizana uwanja wako baba mwaga mameno
 
Watoto wa kike kuolewa wakiwa hawana kipato chao...unamaliza chuo unaolewa..mabinti wajitahidi wasifanye haya mambo...watafute kwanza maisha yao ndo waingie ndoani, sio unaolewa unamtegemea mume tu kwakila kitu! Akifa je?
Akikuolea mke wa pili je?.
Tumieni elimu zenu mlizopewa na wazazi wenu !
KUNTU!
 
Aisee umenitukana sana ni vile msahaulifu rejea nyuzi zangu ukatukane vizuri zaidi
Sijakutusi unless niliosema ni kweli then yawekee uzito uyape maana
So kumwambia mtu kaokotwa chooni hiyo kwako ni lugha ya kawaida sio?!

Okay endelea
 
Stara ni kwako na familia yako hapa huwezi kumpangia mtu kwa mtazamo wako
Kwani we ni nani mpaka useme kuhusu K yangu
Anyway siko na mood ya kujibizana uwanja wako baba mwaga mameno
Sasa why ukasirika ukipewa response sawa na uzi wako?!

Ni sawa na mtu aandike uzi wa namna alivyoiba au kubaka halafu asitegemee backslash kutoka kwa wanajf.

So siwezi kuwa nimekuattack na uzi ulikuwa ni public and ntakuwa nilicomment based on your story. So why would you want to take that personal hadi unaiweka katika moyo na kuiwekea kisasi?!

I don't even know hii name ID yako wala kukumbuka hiyo story yako. Which means i wasn't being personal with my comments rather nilikuwa general as anyone else.

Eish....hebu grow up a little. Stop being sensitive hadi unaanza tukana watu as if wao wana any personal agenda.

Next time mtu akikuoffend Dm tu mwambie mbona no need ya kuwa sensitive publicly.


Stop trippin.....
 
Unatema sumu
Nop mkuu sina sumu..ila nayaona sana mitaani mkuu...nakutana nayo daily..kuna.ishu nafanya za kuinteract sana na wamama...kwahyo anakuambia majanga yake aina hiyo...yaan wamama 20, 16 wako kwenye manyanyaso kisa hawana kitu!
 
Nop mkuu sina sumu..ila nayaona sana mitaani mkuu...nakutana nayo daily..kuna.ishu nafanya za kuinteract sana na wamama...kwahyo anakuambia majanga yake aina hiyo...yaan wamama 20, 16 wako kwenye manyanyaso kisa hawana kitu!
Pesa sasa hivi ndo inatawala dunia awe mke au mume akikosa pesa maisha yanakuwa ya masikitiko na hiyo inasababishwa na majukumu ya familia kuwa mengi tofauti na zamani , imagine wazazi wetu wengi hawakusoma elimu za juu lakini waliendesha familia na familia nyingi watoto walijitafutia mahitaji yao wanavyojua Ili tena waje wabebe majukumu ya familia zao Kama kuwajengea nyumba nzuri na kuwapa mahitaji yao na ndo mada inasema wazazi wanajuta nini? Wengi wanajuta kuchezea muda na kuacha wajibu wa Mungu aliowapa wa kutafuta mkate wa familia na hata kutoa urithi wa watoto wao mpaka wajukuu wao sasa wangewajibika wakiwa na mawazo hayo mambo mengi ya kupoteza muda sisi tusingeyakuta bali tungekuta hata katiba na Sheria zipo kwa kujali muda na kazi tofauti na sasa muda wote tunautumia Kama Happy hours kwa waliofika nje wanaelewa wenzetu walivyopanga muda usitumike vibaya.
 
Back
Top Bottom