Misss Chuga
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 181
- 327
Habari za muda huu wana JF.
Hope ni wazima wote. Naenda moja kwa moja kwenye mada yangu kwamba ni mambo gani unadhani yapo ndani ya uweza wa wabunge wetu lakini wanashindwa kutekeleza?
Wabunge kama wapeleka kero zetu au shida zetu mbele ya serikali (wawakilishi wetu mbele ya serikali) wamekuwa wakepeleka shida zetu mbalimbali kama inavyotakiwa. Lakini wabunge wetu wamekuwa kimya sana mbunge akiwakilisha kero basi yeye kazi yake imeishia hapo serikali ifanye isifanye kwake yeye mwendo mdundo.
Hoja yangu ni kuwa wabunge hawa wamekuwa wakisubiri serikali kutatua matatizo ya wananchi hata kama ni madogo vipi, ambayo mengine yapo ndani ya uwezo wao kabisa. Tukumbuke hawa watu wanapewa hela nyingi sio mshahara tu, il kuna hela nyingi Kwa ajili ya kuzunguka jimboni kwake.
Unakuta mbunge anashindwa hata kuchukua vijana wawili awaambie wafukue calvati tu maji yapite anasubiri serikali ije ifanye jimboni kwake. Mbunge amekaa miaka mitano bungeni lakini kashindwa kupeleka madawati hata hamsini tu katika shule ya kata.
Sema yako ambayo unadhani yapo ndani ya uwezo wa mbunge lakini anashindwa kutekeleza jimboni kwake.
Karibu!
Hope ni wazima wote. Naenda moja kwa moja kwenye mada yangu kwamba ni mambo gani unadhani yapo ndani ya uweza wa wabunge wetu lakini wanashindwa kutekeleza?
Wabunge kama wapeleka kero zetu au shida zetu mbele ya serikali (wawakilishi wetu mbele ya serikali) wamekuwa wakepeleka shida zetu mbalimbali kama inavyotakiwa. Lakini wabunge wetu wamekuwa kimya sana mbunge akiwakilisha kero basi yeye kazi yake imeishia hapo serikali ifanye isifanye kwake yeye mwendo mdundo.
Hoja yangu ni kuwa wabunge hawa wamekuwa wakisubiri serikali kutatua matatizo ya wananchi hata kama ni madogo vipi, ambayo mengine yapo ndani ya uwezo wao kabisa. Tukumbuke hawa watu wanapewa hela nyingi sio mshahara tu, il kuna hela nyingi Kwa ajili ya kuzunguka jimboni kwake.
Unakuta mbunge anashindwa hata kuchukua vijana wawili awaambie wafukue calvati tu maji yapite anasubiri serikali ije ifanye jimboni kwake. Mbunge amekaa miaka mitano bungeni lakini kashindwa kupeleka madawati hata hamsini tu katika shule ya kata.
Sema yako ambayo unadhani yapo ndani ya uwezo wa mbunge lakini anashindwa kutekeleza jimboni kwake.
Karibu!