Iron Lady
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 4,071
- 1,363
Hawa ndoi yanao ishauri CCM na kujenga hisia za woga kwa umma.Mtu kama huyu ni wa kumpuuza na kmbeza. by the way makada wa CCM pale political science dept UDSM wapo kibao! SHAME ON HIM!:shetani:
ni kweli kabisa usemalo hata fund inayoendesha REDET huwa wanapewa na magamba shame on them
dr.bana
dr kilian
prof mukandala
na yule aliyeacha kufundisha akaenda kuwa mshauri wa raisi hakuna kitu hata sijui anamshauri nini?
labda bana naye ameshaambiwa atakwenda kuwa mshauri wa raisi