Kuna haja ya kupima wasomi wa aina ya DK. Bana, je yeye anaona ni halali kwa Serikali kuwaibia wananchi wake km inavyofanya hii serikali dokozi ya CCM???Mbona hatujamsikia kukemea na kukerwa na hii serikali ya wadokozi???Kwa mawazo/fikra zake lipi ni kosa kubwa la kukera kati ya haya mawili??Serikali kukumbatia wezi, mafisadi na wahujumu uchumi au wananchi kupitia wabunge wao kuitaka serikali iwachukulie hatua wezi na waujumu uchumi??? Naanza kupata wasiwasi na PHD za aina hii ya huyu Bana. He is not using his brain critically kuanalyse issues. Kama hadi amepata PHD hajajua kati ya wananchi na serikali nani yupo sahihi hadi sasa katika issue hii. Kweli PHD yake inanipa wasiwasi sana, its either ameamua kujifanya mpumbavu na kufkiria kwa kutumia tumbo au ni insane.Msomi kutoka chuo kikuu cha DSM Dk Benson Bana amesema ni makosa makubwa serikali kuongozwa kwa mashinikizo.Dk Bana alikuwa akirejea shinikizo la kuwawajibisha mawaziri mafisadi na wazembe lililotolewa na bunge katika kikao kilichoisha jumatatu wiki hii.Dk Bana ameonyesha kukerwa na kitendo hicho kwani ni kutaka kuyumbisha serikali.
Source:Uhuru Jumatano
Msomi kutoka chuo kikuu cha DSM Dk Benson Bana amesema ni makosa makubwa serikali kuongozwa kwa mashinikizo.Dk Bana alikuwa akirejea shinikizo la kuwawajibisha mawaziri mafisadi na wazembe lililotolewa na bunge katika kikao kilichoisha jumatatu wiki hii.Dk Bana ameonyesha kukerwa na kitendo hicho kwani ni kutaka kuyumbisha serikali.
Source:Uhuru Jumatano
Mzee huyu anafaidika sana na UFISADI na kama namuonea aje akanushe hapa. Ni Dr. Ambaye uwezo wake wa kufikiri umechuja.
Amekula sana hela ya mafisadi kupitia REDET na leo anaona serikali ikianguka naye atachunguzwa. Only that.
View attachment 52635