Miaka ya nyuma maneno 'hujumu uchumi' yalitumika sana. Watu walishtakiwa kwa kuhujumu uchumi, nadhani kulikua hakuna dhamana.
Mbona siku hizi sisikii mtu akishtakiwa kwa hujuma dhidi ya uchumi wetu dhaifu? Sheria ile bado ipo? Kama mtu amesababishia taifa hasara kubwa sana, kisheria hawezi kuwa amehujumu uchumi?
Ni kwanini kesi ya Mhalu isiwe ya kuhumu uchumi?
Mbona siku hizi sisikii mtu akishtakiwa kwa hujuma dhidi ya uchumi wetu dhaifu? Sheria ile bado ipo? Kama mtu amesababishia taifa hasara kubwa sana, kisheria hawezi kuwa amehujumu uchumi?
Ni kwanini kesi ya Mhalu isiwe ya kuhumu uchumi?