Sikia kaka aabb nkuambie jambo jf ina member zaid ya elfu 60 kwa sasa walio online ni kama elfu 10 tu(currently).Na wote hao syo wote wana ufahamu na masuala au misamiati ya IT.ukisema outsource company kwa miye IT mwenzio nakuelewa ila kwa wengne hakuelewi au wanakuelewa kwa minajiri mingine.Wafafanulie watu wakuelewe na uweke mawasiliano yako ikibidi(email au namba ya simu).Jf inatembelewa na watu weng sana na weng wao wanajua mambo ila baadhi watashndwa kukujibu kwa kuwa syo members.je huon kwa kushndwa kufanya nayokuambia utajiwekea ukuta?Fikiria mkuu.Ni ushaur tu.Hebu jaribu kuwachek infosys wapo pande za kinondon makaburin,kituo cha basi mwemben unateremka mpaka upate mtaa wa mwindu lane karibu na ofs za WFP.Ukifka hapo utapaona.Nawasilisha