Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 9,555
- 34,014
Wakuu, kuna msichana mmoja niliachana naye baada ya kugundua kuna vitu anavyo ambavyo ni vikwazo kwangu hivyo nisingeweza kuwa na malengo nae ya mbali, hivyo nikamuacha kibaharia bila ugomvi wala nini ila nikakata mawasiliano
Baada ya kukata naye mawasiliano kwa muda kidogo kama mwaka mzima, siku moja alikutana na rafiki yangu mmoja akamuomba namba yangu ya simu, alianza upya kuwasiliana na mimi.
Niliamua kumueleza ukweli kuwa sihitaji tena mahusiano ya kimapenzi kwa kuwa sina malengo nae hivyo nisingependa kumpotezea muda wake, lakini yule binti kaamua kunilazmisha turudiane hivyo hivyo hata kama sina malengo naye.
Nimewaomba ushauri marafiki wawili mmoja kaniambia nirudiane naye niendelee kula mzgo hivyohivyo, rafik mwingine kaniambia madhara ya kumrudia mwanamke uliyemwambia huna malengo nae ni makubwa sana, unaweza hata kulogwa(limbwata) upoteze uelekeo au akuletee maradhi.
Bado najiuliza madhara nitakayopata ni yapi au faida nitakazo pata ni zipi pindi nikiendelea naye hali ya kua anajua sina malengo naye
GunFire
Baada ya kukata naye mawasiliano kwa muda kidogo kama mwaka mzima, siku moja alikutana na rafiki yangu mmoja akamuomba namba yangu ya simu, alianza upya kuwasiliana na mimi.
Niliamua kumueleza ukweli kuwa sihitaji tena mahusiano ya kimapenzi kwa kuwa sina malengo nae hivyo nisingependa kumpotezea muda wake, lakini yule binti kaamua kunilazmisha turudiane hivyo hivyo hata kama sina malengo naye.
Nimewaomba ushauri marafiki wawili mmoja kaniambia nirudiane naye niendelee kula mzgo hivyohivyo, rafik mwingine kaniambia madhara ya kumrudia mwanamke uliyemwambia huna malengo nae ni makubwa sana, unaweza hata kulogwa(limbwata) upoteze uelekeo au akuletee maradhi.
Bado najiuliza madhara nitakayopata ni yapi au faida nitakazo pata ni zipi pindi nikiendelea naye hali ya kua anajua sina malengo naye
GunFire