Ni Madhala gani yanawezakutokea endapo watagoma??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,457
8,295
Wadau nimekuwa nikisikia huko nakule kuhusu CHADEMA KUGOMEA RAIS AKIINGIA BUNGENI!Mimi nauliza nini madhara yake wakifanya hivyo??Je nini tija yake wakifanya hivyo??Na kuna faida gani kwa wapiga kura wao waliowachagua majimboni endapo hawaitambui Serikali ya Rais J.Kikwete??Nini ushauri wako kwa wabunge wa CHADEMA??
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom