The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Wakuu habari zenu.
Nimekuwa nikichunguza sana nimegundua wanawake wa miaka ya sasa si mjini au kijijini, wengi wao wana makalio makubwa tofauti na enzi tunakua sisi.
Ujue miaka ya hapo nyuma wanawake wenye makalio walikuwa wachache ndiyo maana yalikuwa yanaonekana dili na wanaume wanayashobokea.
Ila miaka ya hivi karibuni naona wanawake karibu wote kuanzia wembamba kwa wanene wote Wana Makalio Makubwa.
Sasa hapa wanatengeneza shepu au kuna vitu wanatumia? Nauliza ni macho yangu au na nyie mnaona hivyo hivyo?
Nimekuwa nikichunguza sana nimegundua wanawake wa miaka ya sasa si mjini au kijijini, wengi wao wana makalio makubwa tofauti na enzi tunakua sisi.
Ujue miaka ya hapo nyuma wanawake wenye makalio walikuwa wachache ndiyo maana yalikuwa yanaonekana dili na wanaume wanayashobokea.
Ila miaka ya hivi karibuni naona wanawake karibu wote kuanzia wembamba kwa wanene wote Wana Makalio Makubwa.
Sasa hapa wanatengeneza shepu au kuna vitu wanatumia? Nauliza ni macho yangu au na nyie mnaona hivyo hivyo?