Ni mashine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara?

Vijana mkiwa mnahitaji mashine za ku watoa zingatieni haya:

*Kodi ya Import duty
*Spare au vipuri vya machine
*Power consumption yake
*Production rate ukiliganisha na soko
*Technology na mafundi wa hizo machines.

Watu wengi wameimport machine ila zimewashida kutumia either gharama yake ya oparation iko juu au ni outdated Technology au kukosa spare zake.

Nina machine moja GTO 52 ila fundi wake na msafirisha kutoka mbali kweli kweli.
 
hii mashine naitamani sana[ATTACH=ful
 

Attachments

  • Screenshot_2022-05-25-17-17-39-532_com.google.android.youtube.jpg
    Screenshot_2022-05-25-17-17-39-532_com.google.android.youtube.jpg
    46.4 KB · Views: 160
  • IMG_20220525_171852.jpg
    IMG_20220525_171852.jpg
    44.1 KB · Views: 150
Back
Top Bottom