KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,125
- 32,795
Kweli kabisa....humu unaweza kupata wazo la biashara, unaweza kupata mbia wa kibiashara kwa kuunganisha mitaji, unaweza kupata sponsor wa idea yako ya biashara....yote yanawezekana.....ni kutulia tu na kuwa makini na commentsNaungana na wewe, kupitia huu uzi unaweza ukapata chochote