So, assuming it's not a joke, how do you dry, dry things? 🤔We bwege Nini aliekuambia anataka kuchekesha watu Nani?..au Uzi wa vuchekesho huu?
Happy embu niache kwanzaSo, assuming it's not a joke, how do you dry, dry things? 🤔
Weka mchanganuo wa hio 3mil.Million 5 haiwezi kufika, labda 3
Mkuu funguka, changamoto kwenye usafirishaji una maanisha bei ya transportation au mzigo kutokufika? Weka hizochangamoto hapa huenda ukapata msaada wa maoni.huwa nikitembelea alibaba nakuona bei ya ile mitambo...najiona mzembe sana lakini changamoto usafirirshaji tu
InawezekanaMillion 5 haiwezi kufika, labda 3
Import duty 25%Weka mchanganuo wa hio 3mil.
Okay mkuu kuna mashine niliiona Alibaba inauzwa 1.5 m ila ni manual nimeitafuta tena sijaipata, hiyo niliyoweka ni sample tu wala sio halisia. Samahani sana kama imewa mislead watu wengine nitaiondoa.Unataka kusema hii mashine ni ya 1.5m? hebu fanya hesabu zako vizuri maana hata bila utaalamu wa juu hiyo lazima uwe na kuanzia 7m.
Kwani hii thread inahusu vichekesho?wala haichekeshi hii...poleeeee
Dah mkuu ni ngeni kabisa kwangu 😊Mashine ya kukata-kata majani ya ng'ombe inaitwa 'silage machine'
Hii chuma nikiwa nayo wewe nunua tu za kufyatulia matofali utaniamkia tu
Naungana na wewe, kupitia huu uzi unaweza ukapata chochoteHuu Uzi ni ufunguo kwa wajasiliamali.... ubarikiwe ndugu muandishi.....
Mimi ningepata Kenta ya kubebea mizigo..... ingekuwa poa sana ....
Nilitaka machine ya kupack nafaka kama mchele n.k....kipindi cha Uncle, mambo yalikuwa magumu sana..nilipigiwa hesabu kali sana nikakimbia, lakini kipindi hiki mambo yatakuwa fresh...bora ukafanya mipango yako kipindi hiki.Tupe experience mkuu, kuna changamoto gani kwenye usafirishaji?
Okay nimekusoma, hiyo mashine ya kupack nafaka ni game changer kabisa kiwanda hicho mkuu 🙌Nilitaka machine ya kupack nafaka kama mchele n.k....kipindi cha Uncle, mambo yalikuwa magumu sana..nilipigiwa hesabu kali sana nikakimbia, lakini kipindi hiki mambo yatakuwa fresh...bora ukafanya mipango yako kipindi hiki.
Igoogle tu inaitwa silageDah mkuu ni ngeni kabisa kwangu 😊
Ukishakuwa nayo unaikodisha au unakata majani kisha una supply kwa wafugaji?