Ni mashine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara?

Unataka kusema hii mashine ni ya 1.5m? hebu fanya hesabu zako vizuri maana hata bila utaalamu wa juu hiyo lazima uwe na kuanzia 7m.
Okay mkuu kuna mashine niliiona Alibaba inauzwa 1.5 m ila ni manual nimeitafuta tena sijaipata, hiyo niliyoweka ni sample tu wala sio halisia. Samahani sana kama imewa mislead watu wengine nitaiondoa.

Ila nimekuta hii muda huu 👇

IMG_20220525_090511.jpg
 
Back
Top Bottom