Inachekesha Sana kwamba Kama nchi tuna chombo Cha kupambana na Rushwa Ila Hadi Leo tunavyoongea Hakuna mtia Nia wa chama chochote aliyepelekwa mahakamani kwa tuhuma za kugawa Rushwa ingawa Rushwa imetembea wazi wazi
Cha kushangaza zaidi CCM Wana taarifa za baadhi ya wagombea kupitishwa kwa kutoa Rushwa Ila TAKUKURU hawana hizo taarifa kwani Kati ya walioongoza kura za maoni Hakuna aliyepo mahakamani kwa kesi ya rushwa
Cha kushangaza zaidi CCM Wana taarifa za baadhi ya wagombea kupitishwa kwa kutoa Rushwa Ila TAKUKURU hawana hizo taarifa kwani Kati ya walioongoza kura za maoni Hakuna aliyepo mahakamani kwa kesi ya rushwa