Kwani Babu wewe ni she,halafu una kiuno kigumu,niPM ntakuelekeza kukilainisha chawa lainiiiiiiiiiiiiii,ila kama he usijaribu maana utanogewa halafu utajikuta wayakata hata barabarani,halafu hadithi itasimuliwa vingine!!!he he hee,umeona eeh?lakini shosti haya mazoezi 110 itabidi tufwatane chemba unifafanulie kwa vitendo