pakapori
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 536
- 620
Doooh bei c hizo hapo zimeandikwa mkuuUnapatikana wapi na mbona huweki bei ili tuone ote.?
Doooh bei c hizo hapo zimeandikwa mkuuUnapatikana wapi na mbona huweki bei ili tuone ote.?
Duh kumbe nanyiy mnataka muwe na sura nyororo ??? Mweeeeee chapati zinapatikana kwa wingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wa Dar.Wapendwa ni lotion gani au creem inayofaa kwa mwanaume ambayo haichubui kurudisha ngozi yake ya asili iliyoathirika na jua muda mrefu.