Ni lipi eneo sahihi la ku locate biashara?

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,914
BUSINESS LOCATION



MOJA YA SABABU ZA BIASHARA NDOGO NYINGI KUFA NI SABABU YA LOCATION YA BIASHARA, MARA NYINGI WAJASIRIAMALI WAMEKUWA WAKICHAGUA MAENEO AMBAYO SIYO HUWA SABABIBISHIA BIASHARA ZAO KUFA MAPEMA

Baadhi ya factor za kukosinder unapo tafuta eneo zuri la biashara yako

  1. upatikananji wa malighafi-


Ni lazima ujizihirishe kwamba ulipo weka ofisi yako malighafi zinapatikana kwa wingi au pako eneo ambalo si shida kupata malighafi ingawa kuna hii ya malighafi haiply kwa baadhi ya biashara



  1. Karubu na soko au wanunuzi wako


Mara nyingi mtu huanzisha biashara yake na kulocate mahali ambapo ni majirani tu ndo wanao jua kuna baishara hapa, au unaweka mahali ambapo hakuna wateja wa kutosha na saazingine wateja wako wanaona either ni mbali sana au kuna usumbufu wa kufika hapo,

Nahapa lazima kwanza ujiulize kama wateja wako ni wa mwisho kutumia au na wao wanaenda kuuza, AU unafungua ofisi halafu una ashumu kwamba wateja watakuja tu,



  1. Miundo mbinu


Hili nalo huchangia kwa kiasi kikubwa sana kudetermine location ya biashara yako, hapa nazungumzia, USALAMA, UPATIKANAJI WA UMEME, MAJI, NA BARABARA,


  1. Population ya eneo husika


Hili linamata kulinagana na aina ya biashara unayo ifanya
Mfano: Hotel lazima iwe mahali ambapo pako bise sana na maofisi na viwnda kiasi kwamba wale walioko hapo hawawezi kwenda kula nyumbani kwao na kurudi so ni lazima wale hotelini

Ukiweka Hoteli mtaani mara nyingi inakuwa si sahihi kwa sababu wengi wanakula nyumbani kwao ambapo ni karibu na hoteli yako ilipo

Stationary- Lazima iwe mitaa mabayo kuna shule na offisi nyingi sana



  1. Saikolojia ya wanaeneo husika/Mtazamo wao/Psychographics


Mindset ya wateja nayo ni factor ya kukonsider sana, Hapa ni kwamba kuna baadhi ya maeneo kuna weza kukawa na kabila fulani so wewe wa kabila jingine ukifungua hapo biashara yako wanakuwa hawanunui, Au unakuta kuna Dini fulani eneo hili wewe mkristo/mwislamu ikifungua biashara yako hapo wanakuwa wanaichunia



Au unaenda kufungua kibanda cha kuonyeshea picha za ngono maneo ambayo watu wake wengi ni watu wa dini kari sana.

  1. Kuweka biashara kwenye maeneo ya Export processing zone


Haya maeneo mara nyingi yana faida sana kwa wafanya biashara wadogo hasa kama wewe unadili na ku export nje bidhaa zako, kwa nini?
Inasaidia kupunguza transportation cost
Inasaidia kurahisisha inspection ya biadhaa zako na kazalika



  1. Ghalama . Mfano, Rent, Taxes na bili zingine


Ukiwa kama small business man lazima uangalie hivi vitu, kwa sababu kuba baadhi ya maeneo ghalama za rent na kazilika ziko juu kiasi kwamba itakuwia vigumu kwa wewe kufanya biashara hapo na kumake profit

  1. Sehemu ambayo ni Convenience


Je panaendeka? Je kuna parking kwa ajili ya wateja wako?

  1. Trafiki jam


Hapa kuna baadhi ya biashara zinapenda mahali penye trafik jam kubwa sana, mfano migahawa ya chakula inapenda hivi vitu, ila kwa ishu ya biashara zingine inakuwa ni vigumu kwa wateja wako kufika kwa wakati au hata wafanya kazi wako kufika kwa wakati kazini


  1. Prestage


Kuna baadhi ya wateja wanapenda sana hiki kitu, Mfano ukimwambia mteja wako ofisi yako iko uswazi anaweza asije kwa sababu ataona anajizalilisha sana,

Na mwingine ukimwambia ofisi yako iko mitaa ya Post hapo ataona ndo sehemu yenyewe, so unaweza weka biashara yako mahali fulani wateja wakawa wanaogopo kufika hapo kwa kuona kwamba wanajishushia heshima na hadhi yao inashuka

  1. Competitors


Kuna baashi ya biashara zinafeva sana kuwa jirani na washindani wako, mfano biashara za maduka ya rejareja, inalipa sana kuwa jirani na washindani wako kwa sababu mteja akishindwa bei pale atatembea mita chache atakufikia wewe.


Hata Gest House- Ukikuta hii imejaa basi hutatembea sana kabla ya kukuta nyingine



ILA KABLA YA HAPO KUNA MASWALI YA KUJIULIZA KABLYA YA KUTAFUTA ENEO

1. Je eneo linafaa kwa aina ya biashara yako------------?


2. Je wafanyakazi wanapatikna maeneo hayo?



3. Soko je?



4. Je kuna washindani wangu maeneo husika?



5. Je wasambazaji wa malighafi wanapatikana maeneo hayo?



6. Usafili wa uma je? Unapatikana kwa urahisi?


7. Ghalama za kusafirisha bidhaa zangu vipi? Ziko juu? Au ziko chini?



8. Je ghalama za kuweka ofisi hapa ziko chini compare na maeneo mengine?




9. Je parking inapatikana kwa urahisi? Au hakuna parking kabisa?



10. Je trafiki jam ya eneo hili inaendana na biashara yangu ninayo taka kuinzisha hapa?



11. je ni salama kwa wateja wangu? Je kwa wafanya kazi wangu? Je kwa mali zangu?
 
mkuu

in general that is what i can term it as "product placement"

correct me if i am wrong
 
BUSINESS LOCATION



MOJA YA SABABU ZA BIASHARA NDOGO NYINGI KUFA NI SABABU YA LOCATION YA BIASHARA, MARA NYINGI WAJASIRIAMALI WAMEKUWA WAKICHAGUA MAENEO AMBAYO SIYO HUWA SABABIBISHIA BIASHARA ZAO KUFA MAPEMA

Baadhi ya factor za kukosinder unapo tafuta eneo zuri la biashara yako

  1. upatikananji wa malighafi-


Ni lazima ujizihirishe kwamba ulipo weka ofisi yako malighafi zinapatikana kwa wingi au pako eneo ambalo si shida kupata malighafi ingawa kuna hii ya malighafi haiply kwa baadhi ya biashara



  1. Karubu na soko au wanunuzi wako


Mara nyingi mtu huanzisha biashara yake na kulocate mahali ambapo ni majirani tu ndo wanao jua kuna baishara hapa, au unaweka mahali ambapo hakuna wateja wa kutosha na saazingine wateja wako wanaona either ni mbali sana au kuna usumbufu wa kufika hapo,

Nahapa lazima kwanza ujiulize kama wateja wako ni wa mwisho kutumia au na wao wanaenda kuuza, AU unafungua ofisi halafu una ashumu kwamba wateja watakuja tu,



  1. Miundo mbinu


Hili nalo huchangia kwa kiasi kikubwa sana kudetermine location ya biashara yako, hapa nazungumzia, USALAMA, UPATIKANAJI WA UMEME, MAJI, NA BARABARA,


  1. Population ya eneo husika


Hili linamata kulinagana na aina ya biashara unayo ifanya
Mfano: Hotel lazima iwe mahali ambapo pako bise sana na maofisi na viwnda kiasi kwamba wale walioko hapo hawawezi kwenda kula nyumbani kwao na kurudi so ni lazima wale hotelini

Ukiweka Hoteli mtaani mara nyingi inakuwa si sahihi kwa sababu wengi wanakula nyumbani kwao ambapo ni karibu na hoteli yako ilipo

Stationary- Lazima iwe mitaa mabayo kuna shule na offisi nyingi sana



  1. Saikolojia ya wanaeneo husika/Mtazamo wao/Psychographics


Mindset ya wateja nayo ni factor ya kukonsider sana, Hapa ni kwamba kuna baadhi ya maeneo kuna weza kukawa na kabila fulani so wewe wa kabila jingine ukifungua hapo biashara yako wanakuwa hawanunui, Au unakuta kuna Dini fulani eneo hili wewe mkristo/mwislamu ikifungua biashara yako hapo wanakuwa wanaichunia



Au unaenda kufungua kibanda cha kuonyeshea picha za ngono maneo ambayo watu wake wengi ni watu wa dini kari sana.

  1. Kuweka biashara kwenye maeneo ya Export processing zone


Haya maeneo mara nyingi yana faida sana kwa wafanya biashara wadogo hasa kama wewe unadili na ku export nje bidhaa zako, kwa nini?
Inasaidia kupunguza transportation cost
Inasaidia kurahisisha inspection ya biadhaa zako na kazalika



  1. Ghalama . Mfano, Rent, Taxes na bili zingine


Ukiwa kama small business man lazima uangalie hivi vitu, kwa sababu kuba baadhi ya maeneo ghalama za rent na kazilika ziko juu kiasi kwamba itakuwia vigumu kwa wewe kufanya biashara hapo na kumake profit

  1. Sehemu ambayo ni Convenience


Je panaendeka? Je kuna parking kwa ajili ya wateja wako?

  1. Trafiki jam


Hapa kuna baadhi ya biashara zinapenda mahali penye trafik jam kubwa sana, mfano migahawa ya chakula inapenda hivi vitu, ila kwa ishu ya biashara zingine inakuwa ni vigumu kwa wateja wako kufika kwa wakati au hata wafanya kazi wako kufika kwa wakati kazini


  1. Prestage


Kuna baadhi ya wateja wanapenda sana hiki kitu, Mfano ukimwambia mteja wako ofisi yako iko uswazi anaweza asije kwa sababu ataona anajizalilisha sana,

Na mwingine ukimwambia ofisi yako iko mitaa ya Post hapo ataona ndo sehemu yenyewe, so unaweza weka biashara yako mahali fulani wateja wakawa wanaogopo kufika hapo kwa kuona kwamba wanajishushia heshima na hadhi yao inashuka

  1. Competitors


Kuna baashi ya biashara zinafeva sana kuwa jirani na washindani wako, mfano biashara za maduka ya rejareja, inalipa sana kuwa jirani na washindani wako kwa sababu mteja akishindwa bei pale atatembea mita chache atakufikia wewe.


Hata Gest House- Ukikuta hii imejaa basi hutatembea sana kabla ya kukuta nyingine



ILA KABLA YA HAPO KUNA MASWALI YA KUJIULIZA KABLYA YA KUTAFUTA ENEO

1. Je eneo linafaa kwa aina ya biashara yako------------?


2. Je wafanyakazi wanapatikna maeneo hayo?



3. Soko je?



4. Je kuna washindani wangu maeneo husika?



5. Je wasambazaji wa malighafi wanapatikana maeneo hayo?



6. Usafili wa uma je? Unapatikana kwa urahisi?


7. Ghalama za kusafirisha bidhaa zangu vipi? Ziko juu? Au ziko chini?



8. Je ghalama za kuweka ofisi hapa ziko chini compare na maeneo mengine?




9. Je parking inapatikana kwa urahisi? Au hakuna parking kabisa?



10. Je trafiki jam ya eneo hili inaendana na biashara yangu ninayo taka kuinzisha hapa?



11. je ni salama kwa wateja wangu? Je kwa wafanya kazi wangu? Je kwa mali zangu?

This is very good,umenikumbusha kitu muhimu sana,God bless u.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom