Ni muda sasa sijapata kusikia nafasi za kujiunga na jeshi la polisi na jeshi la uhamiaji zikitangazwa
Kwa sasa ndio nafasi ninazozisubiri ili niweze kuomba kujiunga na moja ya majeshi haya
Kwa wanaoelewa ni lini serikali kupitia wizara ya mambo ya ndani itatangaza nafasi hizi ili ziweze kupunguza changamoto ya ajira
Naomba kujuzwa
Kwa sasa ndio nafasi ninazozisubiri ili niweze kuomba kujiunga na moja ya majeshi haya
Kwa wanaoelewa ni lini serikali kupitia wizara ya mambo ya ndani itatangaza nafasi hizi ili ziweze kupunguza changamoto ya ajira
Naomba kujuzwa