Ni lini Vyeo vya Kijeshi (Collar Insignia) vimebadilishwa hapa nchini?

Mnyoofu

Senior Member
Feb 24, 2008
153
49
Wana JF

Nimeona picha ya Meja General Gaudence Milanzi, aliyeteuliwa na kuapishwa na Rais hivi karibuni kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, kwenye blog ya Mpekuzi Huru, ikanipa Maswali.

Kwenye picha hiyo ( ambayo nimei copy na kupaste hapo chini tena), Major Generali Milanzi, anaonekana kuvaa mabegani COLLAR INSIGNIA yenye mkasi, nyota mbili na ile ngao ya bibi na bwana. Kwa uelewa wangu hicho cheo ni cha Generali Kamili, kama vile Mkuu wa Majeshi aliyepo. Japo kuwa nyota zake zimejipanga tofauti na zile za Generali kamili.

Kwa ufahamu wangu, Ma- Major Generali wanakuwa na Mkasi na nembo ya Bibi na Bwana tu, je hii picha imechakachuliwa au vyeo vimebadilishwa? Naomba mwenye taarifa atujuze kama "Collar Insignia" za kijeshi zimebadilishwa hapa nchini.



1.png
 
Wana JF

Nimeona picha ya Meja General Gaudence Milanzi, aliyeteuliwa na kuapishwa na Rais hivi karibuni kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, kwenye blog ya Mpekuzi Huru, ikanipa Maswali.

Kwenye picha hiyo ( ambayo nimei copy na kupaste hapo chini tena), Major Generali Milanzi, anaonekana kuvaa mabegani COLLAR INSIGNIA yenye mkasi, nyota mbili na ile ngao ya bibi na bwana. Kwa uelewa wangu hicho cheo ni cha Generali Kamili, kama vile Mkuu wa Majeshi aliyepo. Japo kuwa nyota zake zimejipanga tofauti na zile za Generali kamili.

Kwa ufahamu wangu, Ma- Major Generali wanakuwa na Mkasi na nembo ya Bibi na Bwana tu, je hii picha imechakachuliwa au vyeo vimebadilishwa? Naomba mwenye taarifa atujuze kama "Collar Insignia" za kijeshi zimebadilishwa hapa nchini.

1.png
Mkuu Mnyoofu, wengi humu JF tunajuana kijuu juu, baadhi yetu tulikuwa wajeda kabisa wa JWTZ ila jeshi likatushinda!.

Ukiondoa cheo cha Private, na vyeo maalum, vyeo vingine vyote vya jeshi la polisi, magereza, uhamiaji, zimamoto na JWTZ, vimegawanyika mafungu matatu matatu ambao vinapisha kwa alama moja moja!.
Kwa JWZ,

Jeshi la Wananchi la Tanzania - JWTZ
tanzania-army-land-forces_03.png

Koplo mdogo Koplo Sajenti
lance corporal corporal sergeant
tanzania-army-land-forces_04.png
tanzania-army-land-forces_05.png
tanzania-army-land-forces_06.png

Sajenti Mtumishi Maafisa Wateule 2 Maafisa Wateule 1
Staff Sergeant Warrant officer class 2 Warrant officer class 1
tanzania-army-land-forces_07.png
tanzania-army-land-forces_08.png
tanzania-army-land-forces_09.png

Luteni wa Pili Luteni wa Kwanza Kapteni
Second Lieutenant First Lieutenant Captain
tanzania-army-land-forces_10.png
tanzania-army-land-forces_11.png
tanzania-army-land-forces_12.png
tanzania-army-land-forces_13.png

Meja Luteni Kanali Kanali Brigedia Jenerali
major lieutenant colonel colonel brigadier general
tanzania-army-land-forces_14.png
tanzania-army-land-forces_15.png
tanzania-army-land-forces_16.png

Meja Jenerali Luteni Jenerali Jenerali
major general lieutenant general general

Happy New Year
Pasco
 
Ukiondoa cheo cha Private, na vyeo maalum, vyeo vingine vyote vya jeshi la polisi, magereza, uhamiaji, zimamoto na JWTZ, vimegawanyika mafungu matatu matatu ambao vinapisha kwa alama moja moja!.
Kwa JWZ,


Jeshi la Wananchi la Tanzania - JWTZ
tanzania-army-land-forces_03.png

Koplo mdogo Koplo Sajenti
lance corporal corporal sergeant
tanzania-army-land-forces_04.png
tanzania-army-land-forces_05.png
tanzania-army-land-forces_06.png

Sajenti Mtumishi Maafisa Wateule 2 Maafisa Wateule 1
Staff Sergeant Warrant officer class 2 Warrant officer class 1
tanzania-army-land-forces_07.png
tanzania-army-land-forces_08.png
tanzania-army-land-forces_09.png

Luteni wa Pili Luteni wa Kwanza Kapteni
Second Lieutenant First Lieutenant Captain
tanzania-army-land-forces_10.png
tanzania-army-land-forces_11.png
tanzania-army-land-forces_12.png
tanzania-army-land-forces_13.png

Meja Luteni Kanali Kanali Brigedia Jenerali
major lieutenant colonel colonel brigadier general
tanzania-army-land-forces_14.png
tanzania-army-land-forces_15.png
tanzania-army-land-forces_16.png

Meja Jenerali Luteni Jenerali Jenerali
major general lieutenant general general

Happy New Year
Pasco
Bado hujajibu hoja ya muuliza swali, kuhusu Meja jenerali Milanzi?
 
Wamebadilisha uvaaji wa nyota mabegani uendane na nyota za kwenye magari.Hivyo basi lt.gen atavaa nyota tatu na gen atavaa nne
 
Mimi mwenye vimenichanganya,labda wameamua kufuata mfumo wa USA ambao Major General na two star general,Lutenant General ni three star general & full general four star general.
 
Meja Jenerali James Mwakibolwa mara baada ya kuvishwa cheo kipya na Mkuu wa Majeshi Tanzania Jenerali Davis Mwamunyange hayupo pichani.
 

Attachments

  • 5C.jpg
    5C.jpg
    21.6 KB · Views: 1,965
Wana JF

Nimeona picha ya Meja General Gaudence Milanzi, aliyeteuliwa na kuapishwa na Rais hivi karibuni kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, kwenye blog ya Mpekuzi Huru, ikanipa Maswali.

Kwenye picha hiyo ( ambayo nimei copy na kupaste hapo chini tena), Major Generali Milanzi, anaonekana kuvaa mabegani COLLAR INSIGNIA yenye mkasi, nyota mbili na ile ngao ya bibi na bwana. Kwa uelewa wangu hicho cheo ni cha Generali Kamili, kama vile Mkuu wa Majeshi aliyepo. Japo kuwa nyota zake zimejipanga tofauti na zile za Generali kamili.

Kwa ufahamu wangu, Ma- Major Generali wanakuwa na Mkasi na nembo ya Bibi na Bwana tu, je hii picha imechakachuliwa au vyeo vimebadilishwa? Naomba mwenye taarifa atujuze kama "Collar Insignia" za kijeshi zimebadilishwa hapa nchini.



1.png

Vyeo vyote vyote vya jeshi letu viko makundi matano , kila kundi lina maofisa wa ngazi tatu tatu isipokuwa kundi la majeali wao wako ngazi nne, Vyeo vyao katika kila kundi vinapishana kwa ngazi moja moja
Kundi la Juu ni la maofisa wa Juu, wanaitwa Staff Oficers ambalo ni la majeneali na wako wanne.
General Jenerali -Mkasi na nyota 4, pia gari yake ina nyota 4, anaitwa A Four-Star General.
Lieutenant General Luteni Jenerali-Mkasi na nyota 3, pia gari yake ina nyota 3, anaitwa A Three-Star General.
Major General Meja Jenerali-Mkasi na nyota 2, pia gari yake ina nyota 2, anaitwa A Two-Star General.
Brigadier General Brigedia Jenerali-Mkasi na nyota 1, pia gari yake ina nyota 1, anaitwa A One-Star General.
Kundi la Pili kutoka juu ni la maofisa wakuu, wanaitwa Senior Oficers ambalo wako watatu.
Colonel
Kanali-Ngao na nyota mbili
Lieutenant Colonel Luteni Kanali-Ngao na nyota moja
Major Meja -Ngao
Kundi la tatu kutoka juu ni la maofisa wa chini, wanaitwa Junior Oficers ambalo wako watatu

Captain Kapteni-Nyota tatu
First Lieutenant Luteni-Nyota mbili
Second Lieutenant Luteni Usu-Nyota moja
Kundi la nne kutoka juu ni la askari ambao sio maofisa, wa juu, wanaitwa Senior NCOs (Non Commissioned Officers) ambalo wako watatu
Warrant Officer Class I Afisa Mteule Daraja la Kwanza-Ngao mkononi kama saa
Warrant Officer Class II Afisa Mteule Daraja la Pili-Mwenge mkononi kama saa
Staff Sergeant Sajinitaji-Ngao na mbavu tatu
Kundi la tano na la mwisho ni la askari ambao sio maofisa, wanaitwa Junior NCOs (Non Commissioned Officers) ambalo wako watatu

Sergeant Sajenti-Mbavu tatu
Corporal Koplo-Mbavu mbili
Lance Corporal Koplo Usu-Mbavu moja
Pasco.
NB-Pasco baada ya kuhudumu JKT, alijiunga na JWTZ moja kwa moja lakini naomba nisiulizwe lolote kuhusu utumishi wangu jeshini, niliondokaje, na niliondoka na cheo gani, ila vita ikitangazwa leo, mimi ni miongoni mwa wana jf, tutakaokwenda mstari wa mbele!.
 
Jeshi la Wananchi la Tanzania - JWTZ
Koplo mdogo Koplo Sajenti
lance corporal corporal sergeant

Sajenti Mtumishi Maafisa Wateule 2 Maafisa Wateule 1
Staff Sergeant Warrant officer class 2 Warrant officer class 1


Luteni wa Pili Luteni wa Kwanza Kapteni
Second Lieutenant First Lieutenant Captain


Meja Luteni Kanali Kanali Brigedia Jenerali
major lieutenant colonel colonel brigadier general


Meja Jenerali Luteni Jenerali Jenerali
major general lieutenant general general

Happy New Year
Pasco
Pasco, asante kwa maelezo. Ila tu kuhusu majina za vyeo>

Mimi nimekuta orodha hii za vzeo ambazo ni tofauti kidogo upande wa Kiswahili>

Officer ranks

General Jenerali
Lieutenant General Luteni Jenerali
Major General Meja Jenerali
Brigadier General Brigedia Jenerali
Colonel Kanali
Lieutenant Colonel Luteni Kanali
Major Meja
Captain Kapteni
First Lieutenant Luteni
Second Lieutenant Luteni Usu


Enlisted Ranks


Warrant Officer Class I Afisa Mteule Daraja la Kwanza
Warrant Officer Class II Afisa Mteule Daraja la Pili
Staff Sergeant Sajinitaji
Sergeant Sajenti
Corporal Koplo
Lance Corporal Koplo Usu
 
Last edited:

Similar Discussions

Back
Top Bottom