Inasikitisha sana kuona kuwa viongozi wengi wa afrika wamekuwa makupe wa madaraka, wakishaonja ikulu tu, inakuwa kama sumu sijui hasari? mimi hata sielewi, tena wengine wanasingizia kuwa walipigania uhuru, sasa kama ulipigania uhuru kwa nini usitoke kwa heshima kama nyerere na mandera? ilianza kwa mugabe, ikaja kwa mwai emilio kibaki, ikaenda kwa gbagbo ikatoa athari zake tunisia kwa ben sasa inalilia kwa mubarak, je? baada ya hapo inkwenda wapi? this is the wind of change,. ukikataa kwenda na upepo huu utapelekwa hata kwa nguvu na upepo huu.:bump: