XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,293
- 6,956
Hapo itategemea na genes za wazazi wote wawili sababu kama ana sura ya kikubwa ni kwamba ameshakuwa kwa sababu kuna watu wengi wafupi wenye miili midogo lakini sura inakutambulisha kama ni mtu mzima.Sawa mkuu ana Sura ya Kikubwa Lakn Umbo lake bado Ni Dogo(Hajatanuka)Vp hapo ananafasi