PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Bado tuna vitendawili vingi havijateguliwa,lakini bado tunaendelea kutegwa,ni lini sasa tutapata majibu angalau robo tatu ya maswli tuliyokwishauliza kabla ya kuendelea na hii muvi mpya ya DR.NCHIMBI?.ni lini serikali hii itaacha kutugeuza sisi wananchi wajinga?na je? ni lini sisi wananchi tutaseMa basi ,yatosha???????????