Protector
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 414
- 877
Kwa kuzingatia umuhimu na ukubwa wa jiji la Mwanza kunatakiwa kuwe na Chuo Kikuu cha Serikali ambacho kitatoa elimu kwa ukanda wote wa Ziwa.
Kulingana na matawi yaliyopo ya vyuo mbalimbali lakini bado hayajakidhi mahitaji na matakwa ya watu wa Mwanza. Kunatakiwa kuwepo na chuo kikuu ambacho main campus itakuwa Mwanza.
Namuomba Rais Magufulu kabla hajatoka Madarakani aache amejenga au ameanzisha ujenzi wa chuo kikuu mkoa wa Mwanza.
Hii itampa heshima na kumbukumbu nzuri sana kwa wananchi wa Mwanza na kanda yote ya ziwa kwa ujumla ukizingatia watu wa kanda hii wanampenda sana.
Kulingana na matawi yaliyopo ya vyuo mbalimbali lakini bado hayajakidhi mahitaji na matakwa ya watu wa Mwanza. Kunatakiwa kuwepo na chuo kikuu ambacho main campus itakuwa Mwanza.
Namuomba Rais Magufulu kabla hajatoka Madarakani aache amejenga au ameanzisha ujenzi wa chuo kikuu mkoa wa Mwanza.
Hii itampa heshima na kumbukumbu nzuri sana kwa wananchi wa Mwanza na kanda yote ya ziwa kwa ujumla ukizingatia watu wa kanda hii wanampenda sana.