Mtu Kwao
JF-Expert Member
- Sep 2, 2019
- 394
- 710
Salaam.
Kwa wale wanaofuatalia AFCON kule Cameroon watakubaliana na mimi kuwa Cameroon wametuacha sana kwenye suala la viwanja vya kisasa.
Viwanja vyao viko vizuri ni level za Ulaya.
Je, sisi tunakwama wapi na naamini hata kwenye suala la maendeleo tupo mbele ya Cameroon.
Kwa kwetu kidogo uwanja una uafadhali ni Uwanja Mkapa pale Dar es Salaam labda na wa uhuru kidogo lakini viwanja vya mikoani ni vina hali mbaya kabisa.
Kwa hali tuliyopo tunapaswa kuwa na viwanja vya kisasa walau hata 4 vya kubeba watu kuanzia elfu 40.
Kwa wale wanaofuatalia AFCON kule Cameroon watakubaliana na mimi kuwa Cameroon wametuacha sana kwenye suala la viwanja vya kisasa.
Viwanja vyao viko vizuri ni level za Ulaya.
Je, sisi tunakwama wapi na naamini hata kwenye suala la maendeleo tupo mbele ya Cameroon.
Kwa kwetu kidogo uwanja una uafadhali ni Uwanja Mkapa pale Dar es Salaam labda na wa uhuru kidogo lakini viwanja vya mikoani ni vina hali mbaya kabisa.
Kwa hali tuliyopo tunapaswa kuwa na viwanja vya kisasa walau hata 4 vya kubeba watu kuanzia elfu 40.