warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,380
Tag mabwana zako wote, warumi jeshi la mtu mmoja
Miez miwili tu nchi imeshawashinda mnakimbilia kenya mxieww mlidhan kuongoza nchi ni makalio kila mtu anayo, miez miwil tu mnawewesek utadhan mbwa anataka kujifunguli kwenye makalio, magufuli ndo slikua jembe, jeshi la mtu mmoja, hapelekeshwi
Kwa hiyo samia atakuwa na kazi ya kukaa ikulu tu au anataka kuwa balozi wa nchi za nje?Sasa kazi ya wakuu wa mikoa, wilaya,watendaji wa kata,wabunge,TISS n.k itakuwa ni nini.
Kweli kichaa alifanikisha kuwabrainwash wapumbavu wengi.
Kamuamushe magufuri ahe ataware au nasema uongo jamaniiTukubali tu safari hii raisi hatuna, inauma sana ila Ndo ukweli
Yaani kuna madiwani, watendaji wa kata na vjiji,wakuu wa wilaya na mikoa, bado unataka Raisi amefanye kila kitu.Japokua hayati alikua anaendesha nchi kibabe, lakini kuna baadi yamambo aliyafanya yalitupendezea hata sisi wananchi wanyonge tunaoshi chini ya dola moja kwa siku,
ziara za sehemu mbalimbali kusikiliza kero za wananchi zilitufariji sana,
kwa heshima na taadhima tunakuomba mama yetu, Amiri jeshi mkuu, President material mweshimiwa Rais samia suluhu uanze ziara za kusikiliza kero za wananchi wako wanyonge na kuzitafutia ufumbuzi
tunakupenda sana
asante sana
mitano tena✋
Tunataka tuone miradi ikizinduliwaYaani kuna madiwani, watendaji wa kata na vjiji,wakuu wa wilaya na mikoa, bado unataka Raisi amefanye kila kitu.
Halafu unasemaje Raisi aliyeko madarakani ni president*** (presidential lugha sahihi) material? Wakati tayari ni president hata kama hakuwa material?
Yaani kuna madiwani, watendaji wa kata na vjiji,wakuu wa wilaya na mikoa, bado unataka Raisi amefanye kila kitu.
Halafu unasemaje Raisi aliyeko madarakani ni president*** (presidential lugha sahihi) material? Wakati tayari ni president hata kama hakuwa material?
Kwa hiyo samia atakuwa na kazi ya kukaa ikulu tu au anataka kuwa balozi wa nchi za nje?
Yaani kuna madiwani, watendaji wa kata na vjiji,wakuu wa wilaya na mikoa, bado unataka Raisi amefanye kila kitu.
Halafu unasemaje Raisi aliyeko madarakani ni president*** (presidential lugha sahihi) material? Wakati tayari ni president hata kama hakuwa material?
Kwa hiyo samia atakuwa na kazi ya kukaa ikulu tu au anataka kuwa balozi wa nchi za nje?
Mkuu, unataka Rais wa nchi ajue matatizo ya nchi kwa kusoma ripoti zilizotengenezwa mahususi? Mwambie aende kulekule akajioneeTantarira nyingu tu zisizo na mashiko
Trip watajipanga ziwe ngapi. Miaka 4 si kidogo. Makubwa anaweza kufanya.Maeneo ya kutosha ni mangapi katika kipindi cha miaka minne??
Ameshakuwa waziri kwa miaka mingi na makamu wa Rais kwa miaka mitano anajua vizuri watu wake na uhalisia wa maisha yao.
Mkuu, unataka Rais wa nchi ajue matatizo ya nchi kwa kusoma ripoti zilizotengenezwa mahususi? Mwambie aende kulekule akajionee
Trip watajipanga ziwe ngapi. Miaka 4 si kidogo. Makubwa anaweza kufanya.
Unataka awe anashinda dar na dom tu? Halaf ikifika kipindi cha kuomba kura kila mtu anamuona mgeni. Au unataka aanze trip za Ulaya? Utafikiri huko ndo watampa kura
Waziri kwa miaka mingapi akishughulikia masuala yapi na wapi?
Kwani Kura za umakamo wa Rais aliombewa na Nani . Ziara ni muhimu ili vitu vingine asiwe anavisikia tuu avione Kwa macho yakeSasa kazi ya wakuu wa mikoa, wilaya,watendaji wa kata,wabunge,TISS n.k itakuwa ni nini.
Kweli kichaa alifanikisha kuwabrainwash wapumbavu wengi.