Habari za leo
Ni swali dogo tu la kujiuliza ni lini serikali na Mh. Rais itahamia rasmi ikulu ya Dodoma, na Je mpaka sasa serikali imeshahamia Dodoma?
karibuni tueleweshane
😂😂😂 Mtu wa pili kwenda motoni baada ya shetani ni mwanasiasa. Magufuli ulaaniwe.
Ni kiumbe ndio, kwani story za malaika huzijui wao sio roho ni viumbe.Kwani Shetani Ni Mtu?
atahamia tu soon.. safari ya dodoma imeshaiva
Wote wamesha hamia ila Dar Es salaam itasomeka Ofisi ndogo Za Wizara Au ofisi ndogo Za Ikulu
Ni mwendo huo
Hata Lumumba huwa tunaita ofisi ndogo Za Makako
makuu
Mpaka sasa ana dakika 91 tu kwenda Dodoma (mda wa mechi ya mpira wa miguu)
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie mlishaambiwa maza anaumwa ndo maana kachelewa sasa mnauliza uliza nini na kufukua makaburi ya nyuzi kwani maza ameshapona?
Tatizo ni ni mkuuHaondoki mjini huyu
Safi sana,ni jambo la kupongezaHatimae leo 12/10/2019 JPM amehamia rasmi Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma
Amehamia jana tarehe 12/10/2019 mkuu,Comrade Magufuli ni mtu wa vitendo,sio maneno.Habari za leo
Ni swali dogo tu la kujiuliza ni lini serikali na Mh. Rais itahamia rasmi ikulu ya Dodoma, na Je mpaka sasa serikali imeshahamia Dodoma?
karibuni tueleweshane
Ameshahamia mkuu,Comrade Magufuli ni mtu wa vitendo,sio maneno.