amatolo
JF-Expert Member
- Jul 24, 2017
- 690
- 711
Kumbe, m nachunga huku chato, nilidhani unaitaka nimwambie ankoHapana bali aliyepewa ameuwa mtu madhabauni na hivi sasa yuko selo
Kumbe, m nachunga huku chato, nilidhani unaitaka nimwambie ankoHapana bali aliyepewa ameuwa mtu madhabauni na hivi sasa yuko selo
mambo ya kuweka watu sero au kuwauwa kwa sababu za uchaguzi siyawezi mkuuKumbe, m nachunga huku chato, nilidhani unaitaka nimwambie anko
Sawa mkuu, ujenzi wa hospital yeyu umesimama sijui kwa ninimambo ya kuweka watu sero au kuwauwa kwa sababu za uchaguzi siyawezi mkuu
kwani kuna mahali umesikia katenguliwa ? badala yake kuna nguvu kubwa sana kumnasuaKwa hiyo ameenda mahabusu na cheo chake .
sidhani,yule yupo mahabusu na cheo chake, anasubiria kuachiwa Kwa NOLLENina amini kwenye uteuzi huu Itigi nayo imekumbukwa
Nina amini kwenye uteuzi huu Itigi nayo imekumbukwa
Kumbe imeshathibitika kwamba aliua? Ni adhabu gani kapewa na Mahakama?nchi imegawanyika sana hii, kuna jamaa aliendasha gari akiwa morogoro wakati akiwa DED Wilaya moja tanga, haikuchukua hata saa tano kabla hajatenguliwa. Ila huyu muuaji anaendelea kula mshahara.
Huyu chalamila akipona Leo basis maana kunasehemu aliambiwa wahindi waondoe kiwanda chao lakini yeye amkomalia waanze uzalishaji na Leo mheshimiwa atapita hapo ataona kazi zikiendelea kama kawa tusubiriNa Chalamila ni lini ataondolewa Mbeya ?