Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,408
- 11,051
Watanzania Acheni ubaguzi na undumila kuwili, mnajifanya majizi na viziwi na vipofu. Hii tabia ya kujizima data itawacost sana mmesahu aliesema hata msipoigia kura CCM Bado CCM itashinda tu, na sio nongwa maana pia maoni yake kwa wakati huo.
Tangu lini Katibu Mkuu wa CCM anaibeba legacy ya matendo ya Rais Magufuli kuliko Makamu wake. Mikutano ya hadhara mnayo?Bunge live lilianza march 18 2021? Katiba mpya ipo? Mishahara imeongezwa, wasiofaa wanatumbuka? CCM ya sasa ni ya fursa sawa Kwa wote? Wenye vyeti fake je? Makamu hakuwepo?
Tuache ujinga wa kujizima data na kusahau hata muundo wa serikali na dhamana zake, Mkitaka kuyakana na kuyakebehi ya Magufuli anzeni na Makamu Rais wa Magufuli.
Amueni moja funika Kombe mwanaharamu apite, yaliopita si Ndoige tugange yajayo?
Mtumikie mfalme ili upate mtaji wako.
Yote alofanya Dr Bashiru alifanya Kwa niaba ya CCM na Serikali yake hana anything kuhusu individual burden hana
Acheni upumbavu wa kujizima data. Tukubali kuanza upya tukubali kuwa nyakati ni nyakati hazijawahi kuwa sisi, sisi ni sisi na nyakati ni nyakati sisi tutabaki kuwa sisi
Sisi ni sisi na nyakati ni nyakati. Mimi ni mimi na nyakati ni nyakati tu.
Dr. Bashiru ni Dr.Bashiru tu, Ukatibu wake wa CCM ni nyakati kama nyakati tu.
Kichaka Chochote hakitazuia mimi nisiwe mimi kichaka ni kichaka tu.
Tangu lini Katibu Mkuu wa CCM anaibeba legacy ya matendo ya Rais Magufuli kuliko Makamu wake. Mikutano ya hadhara mnayo?Bunge live lilianza march 18 2021? Katiba mpya ipo? Mishahara imeongezwa, wasiofaa wanatumbuka? CCM ya sasa ni ya fursa sawa Kwa wote? Wenye vyeti fake je? Makamu hakuwepo?
Tuache ujinga wa kujizima data na kusahau hata muundo wa serikali na dhamana zake, Mkitaka kuyakana na kuyakebehi ya Magufuli anzeni na Makamu Rais wa Magufuli.
Amueni moja funika Kombe mwanaharamu apite, yaliopita si Ndoige tugange yajayo?
Mtumikie mfalme ili upate mtaji wako.
Yote alofanya Dr Bashiru alifanya Kwa niaba ya CCM na Serikali yake hana anything kuhusu individual burden hana
Acheni upumbavu wa kujizima data. Tukubali kuanza upya tukubali kuwa nyakati ni nyakati hazijawahi kuwa sisi, sisi ni sisi na nyakati ni nyakati sisi tutabaki kuwa sisi
Sisi ni sisi na nyakati ni nyakati. Mimi ni mimi na nyakati ni nyakati tu.
Dr. Bashiru ni Dr.Bashiru tu, Ukatibu wake wa CCM ni nyakati kama nyakati tu.
Kichaka Chochote hakitazuia mimi nisiwe mimi kichaka ni kichaka tu.